TANZIA Amos Nnko, Mkurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina, bintiye wafariki ajalini Same

Tuliwahi kuanguka na basi maeneo hayo hayo tukitokea Morogoro wakafa watu wawili. Pako tambarare kama mezani lakini pana mambo yake. Baada ya ajali mtaona vijana kibao wanakuja nakujifanya kuwapa fedha kumbe ndio wananunua watu hivyo! Dunia hii kubwa.
 
Maisha hayana maana kama wasemavyo wanautamaushi, amesoma, amepata hela, ana familia yake safi, kanunua gari ambalo leo linamuua, kila binadamu ana kitabu cheke anakifungua kwa furaha na ipo siku utakifunga kwa huzuni na kuwaachia wengine wasome.

Kwahiyo tujitahidi vitabu vyetu viwe vizuri kwa wasomaji pindi vifungapo kurasa ya mwisho.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE, AMEN
 
Nimekula sana wali maharage Engineering Cafteria pale.
 
Kabisa Mkuu
 
Utundu wa magari ni sayansi na sanaa, watu wengi wanajua ni kulenga bara bara tu kumbe ni zaidi sana ya hapo.
 
Chama gani tafadhali
 
Huijui ile barabara ........Kuna comment yako moja nimeona umeongea vizur lkn hii umeharibu kwenye hiyo paragraph ya pili
 
 
Unaujua upepo wa same? pale ukiwa unaacha mpaka wa tanga kumeandikwa kilometa ..... zijazo kuna upepo mkali sana, nature ya pale ni semi arid na upande una milima huku kwenye barabara ni mteremko, sasa upepo unaovuma pale ni wa kuhamisha gari kabisa.
 
Inasikitisha sana familia nzima kukutwa na janga kama hili. Poleni sana, Mungu awaweke pema waliotangulia, kuwatibu walio hospitali na kuwapa faraja na subira wanafamilia wote
 
Hivi kwa nini hii sikukuu inamaliza
Wiki iliyoisha kuna mchungaji wa KKKT alisisitiza sana watu waende makwao wakajumuike na wazazi wao.
Huyo mchungaji ana mission maalum si bure. Mtu ana mji na familia, kwao ni pale alipo. Mahubiri ya kijima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…