HakikaKama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Nimekula sana wali maharage Engineering Cafteria pale.Hicho kipande cha Same, Hedaru , Makanya kote huko natembea na 140 mpk 180 and sometimes nakopa 180+... know your car limitations..
Gari ikiwa imetaga (Ground clearance ni ndogo) upepo hauwezi kukuhamisha, ila likiwa juu (Ground Clearance kubwa) lazima ikutoe, hapa sasa inategemea na weight x speed x direction ya upepo..
Tukirud ktk dhana ya Aerodynamics kuna namna ya kufanya chombo kipae ni kwenda against wind.. sasa kiuhalisia upepo unaokatiza huwa hauna shida, shida inakuja pale unapopishana na gari nyingine inayokuja kasi, inagenerate upepo ambao unakutana nao wewe head to head hivyo inatengeneza lifting mechanism bahati mbaya ikishalift gari kwa kiwango flan unakutana na upepo unaokatisha (Cross wind) ambao utakusogeza either kulia or kushoto hapo sasa ndio unakuta mtu anatoka nje ya barabara au anajaa upande ambao sio wake..
Trick: Kimbia uwezavyo ila ikifikia unapishana na gari nyingine punguza mwendo mpk apite ndio uendelee na flat-foot..
Kabisa MkuuNi kweli wabongo wengi wanaendesha vibaya sana magari.
Yaani huwaambii kitu 👌👌
Mwendokasi balaa.
Sijui wana matatizo gani?!
Yaani utasema ni Watu hawana cha kupoteza , wana-bet for life 🤔🤔🤔
overtaking za hatari hawajali wala nini.
Always huwa nasema Mwenyezi aendelee kutunusuru na tuepuke mwendokasi ili akitokea wa kutaka kutusababishia Basi kufa na afe mwenyewe au wenyewe.
Hawataki kufuata sheria na hekima za jinsi ya kuendesha gari kiusalama kwa masafa marefu.
Inasikitisha mno lakini mwisho wa siku mchuma janga atakula na wakwao.
Tujitafakali kwa kweli.
Hulka mbaya sana ya kuzoea na kupenda mwendokasi.
Utundu wa magari ni sayansi na sanaa, watu wengi wanajua ni kulenga bara bara tu kumbe ni zaidi sana ya hapo.Hicho kipande cha Same, Hedaru , Makanya kote huko natembea na 140 mpk 180 and sometimes nakopa 180+... know your car limitations..
Gari ikiwa imetaga (Ground clearance ni ndogo) upepo hauwezi kukuhamisha, ila likiwa juu (Ground Clearance kubwa) lazima ikutoe, hapa sasa inategemea na weight x speed x direction ya upepo..
Tukirud ktk dhana ya Aerodynamics kuna namna ya kufanya chombo kipae ni kwenda against wind.. sasa kiuhalisia upepo unaokatiza huwa hauna shida, shida inakuja pale unapopishana na gari nyingine inayokuja kasi, inagenerate upepo ambao unakutana nao wewe head to head hivyo inatengeneza lifting mechanism bahati mbaya ikishalift gari kwa kiwango flan unakutana na upepo unaokatisha (Cross wind) ambao utakusogeza either kulia or kushoto hapo sasa ndio unakuta mtu anatoka nje ya barabara au anajaa upande ambao sio wake..
Trick: Kimbia uwezavyo ila ikifikia unapishana na gari nyingine punguza mwendo mpk apite ndio uendelee na flat-foot..
Chama gani tafadhaliAjali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
View attachment 3183528
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Huijui ile barabara ........Kuna comment yako moja nimeona umeongea vizur lkn hii umeharibu kwenye hiyo paragraph ya piliKuweka Mayai yote katika KAPU moja si sahihi.. hata safari za ndani ya Mkoa mie naona si sahihi.. ni kheri kusafiri kwa mafungu..
Chanzo cha ajali sijafahamu.. siwez comment chochote.. ingawa kuna baadhi ya watu wanasema kipande kina upepo Mkali, ukiangalia vzr hiyo gari ina kg za kutosha ukiongeza na watu waliokuwemo ndani sijaona upepo wa kuitoa nje ya reli maybe technical issues or human factors..
Mimi nimepokea pole kwa niaba ya TaifaPole kwa familia ndugu jamaa, na Taifa
Prado alichukua nadhani kwa sababu ya misele huko aendakoKutoka nyumbani kwake kwenda Kilimanjaro airport ni about 30 kms.
Hili hakuliwaza, akachukua familia yote na Prado?
Aseeh pole sana ndugu,Mimi nimepokea pole kwa niaba ya Taifa
AminaAseeh pole sana ndugu,
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake sio nyingi
Naa maisha yake yamejawa na taabu.
Roho Ya Amos Nko ipate rehema kwa Mungu, pamoja na mwanae Maureen wapumzike mahala pema, Amen
Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
View attachment 3183528
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
View attachment 3183107R.I.P MTANI!Hii ajali leo nimetaona aya magari nadhani masaa 3 baada ya ajali!nimeyaona yakiwa bado barabarani leo
Ukikimbia kimbia tu lazima ufe baadae zinakuja dhana za Mungu alipanga.Utundu wa magari ni sayansi na sanaa, watu wengi wanajua ni kulenga bara bara tu kumbe ni zaidi sana ya hapo.
SureUkikimbia kimbia tu lazima ufe baadae zinakuja dhana za Mungu alipanga.
Nikushauri kitu?.Inalilah wainailah rajiun
Kila nafsi itaonja umauti ni swala la muda na wakati...
Unaujua upepo wa same? pale ukiwa unaacha mpaka wa tanga kumeandikwa kilometa ..... zijazo kuna upepo mkali sana, nature ya pale ni semi arid na upande una milima huku kwenye barabara ni mteremko, sasa upepo unaovuma pale ni wa kuhamisha gari kabisa.Kuweka Mayai yote katika KAPU moja si sahihi.. hata safari za ndani ya Mkoa mie naona si sahihi.. ni kheri kusafiri kwa mafungu..
Chanzo cha ajali sijafahamu.. siwez comment chochote.. ingawa kuna baadhi ya watu wanasema kipande kina upepo Mkali, ukiangalia vzr hiyo gari ina kg za kutosha ukiongeza na watu waliokuwemo ndani sijaona upepo wa kuitoa nje ya reli maybe technical issues or human factors..
Hivi kwa nini hii sikukuu inamalizaAjali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Huyo mchungaji ana mission maalum si bure. Mtu ana mji na familia, kwao ni pale alipo. Mahubiri ya kijima.Wiki iliyoisha kuna mchungaji wa KKKT alisisitiza sana watu waende makwao wakajumuike na wazazi wao.