milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Katika Barabara hatari Tanganyika ni kutoka Dar, chalinze,morogoro, kitonga,iringa,mafinga,Makombako, mbeya kwenda Tunduma.Kila siku huwa nasema hapa kusafiri katika barabara za Tanzania ni HATARI na kutembea na KIFO.
Waafrika hasa watanzania bado hawawezi kutumia barabara kwa usalama.
Mijitu inajiendea tu, pakachu pakachu kama mapanya.
Ninasali ili siku Moja Saa100 apitishwe hiyo Barabara.
Mzee Kinana,alipitia huko mwaka Jana, akachanganyikiwa,akatoa ahadi hewa ya ujenzi wa Barbara nne, akaishia kujiuzulu