Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kunahitaji umakini na upole tu barabarani wala sio maombi Mkuu. Upepo ni mkali sasa mtu wa wagon lazima uwe makiniEneo la Same,Huko Kilimanjaro,linahitaji maombi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunahitaji umakini na upole tu barabarani wala sio maombi Mkuu. Upepo ni mkali sasa mtu wa wagon lazima uwe makiniEneo la Same,Huko Kilimanjaro,linahitaji maombi
Hii familia ilikuwa imefika mbali kimaisha,sasa wamerudi nyuma ,zaidi ya sifuri!
Kisa mafuta ya gari ya kupewa Bure!
Sasa kimbembe ukute mama ni mama WA nyumbani kama Mimi!
Kuna mwana ipo siku alikuwa anakunywa redbull ili asisinzie na mm nikiwa siti ya mbele kz yng ilikuwa kumpigisha story lkn haikufaa.... hamadi tukajikuta miguu chini kichwa juu maeneo ya Mwanga hapo.pengine ule ila unywe kahawa au chochote unachojua kina kupunguzia usingizi
Heineken chupa moja 3000.Pia Pombe wanaendesha wakiwa wamelewa.
This is negative comment jaribu kuwa positive katika hiki kipindi cha msiba.Kisa, wachungaji wawaone huko kwao wakijaza, vibakuli vya sadaka.
Ujinga WA Karne!
Watu wote ni muhimu Kwa wale wanaowahusuWatu muhimu sana wanasepa,bora angekuwa winga kusinge kuwa na shida
Chanzo cha ajali ni Nini! Mbona gari imekatika nusu!Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Kifo kipo pale ulipoandikiwa kufia.Kifo kipo popote pale , huwezi kukifuata wala kukikimbia.
Ulipo kipo
Hii gari imeumia yenyewe tu au imegonga mti ? Kwa anaejua plz atwambie
Inashangaza sana mkuu...Chanzo cha ajali ni Nini! Mbona gari imekatika nusu!
Kama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili