Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Geez mpaka mwili umesisimka 💔💔 rest easy baba na mtoto. Mungu awajalie uponyaji majeruhi na subra ndugu wa marehem.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
360k/h???Kama unasafiri mwenyewe una drive na uko pwkw yako jilipue hata 360km/hr
R.I.P inaumiza sana, ila hiyo barabara ya Same kuna kitu sio bure( kiroho zaidi)Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Utasema imeungua motoChuma imeisha 😬
Hii nadharia kuna sehemu haiingii akilini kwa kweli kuna mazingira yanasababisha vifo ambavyo sio mpango wa Mungu.hii nadharia ina ukakasi japo ndo reality lakini viumbe hai siku zote tupo katika nature ya kujilinda,
leo hii ukipata meli tunatarajia kue na life jackets ili likitokea lolote watu waweze kujitetea huku wakisuburi msaada hatuwezi sema hakuna umuhimu wa life jackets kisa kifo hakikimbiliki.
hali kadhalika huko porini simba anakula wanyama wengine ila swala akimuona simba lazima ajihami kujitetea asiliwe.
hivyo hata barabarani siku zote duniani kote wanaweka mikakati ya kupunguza ajali zinazoweza kuepukika, watu wafe kwa njia zingine ambazo zipo nje ya uwezo
High speed killsAjali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
nakuunga mkono, mfano ukisoma historia ya ujenzi wa panama canal, wafanyakazi kuna kipindi walikua wanakufa bila kujua tatizo ni nini, wakadhani wadudu aina ya sisimizi kwahiyo wakawa wanaweka kama vyombo vyenye maji kwenye miguu ya kitanda ili sisimizi au wadudu wengine wanaotambaa wasiweze panda kitandani kuwapa ugonjwa maana ndo walidhani wanaleta ugonjwa,Hii nadharia kuna sehemu haiingii akilini kwa kweli kuna mazingira yanasababisha vifo ambavyo sio mpango wa Mungu.
wahanga wa ajali mama na watoto Mungu awape afya njema kwa mara nyingineAjali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Siyo Dereva tu, Bali dereva makini maana hata Marehemu alikuwa Dereva pia, pengine alikuwa makini akasababishiwa ajali na extrenal factors, haya mambo ni magumu na yanatafakarisha sanaukitaka kufurahi sikukuu kama hizi tafuta dereva awaendeshe nyie muendelee kula good time
Hii familia ilikuwa imefika mbali kimaisha,sasa wamerudi nyuma ,zaidi ya sifuri!Pole Sana.
Ila mnapobarikiwa kupata high position na fedha muwe na utamaduni wa kuisaidia jamii na sio kuwa selfish.
Sio lazima mrudi kwenu kutambika na kufanya ibada za kishirikina .