Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Kifo kipo popote pale , huwezi kukifuata wala kukikimbia.Alijiandaa kwenda kusheherekea krismas na familia yake kumbe ndio alikuwa anakifata kifo chake......pole nyingi Kwa familia
Ulipo kipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo kipo popote pale , huwezi kukifuata wala kukikimbia.Alijiandaa kwenda kusheherekea krismas na familia yake kumbe ndio alikuwa anakifata kifo chake......pole nyingi Kwa familia
Upepo mkali na madereva hawasikii haaambiliki wao wananyoosha tuKipande cha Makanya to Same kinakuwaga na viajali vya Hapa na pale wakati Njia imenyooka barabara nzuri.
Nafikiri tatizo ni upepo mkali eneo hilo
Wiki iliyoisha kuna mchungaji wa KKKT alisisitiza sana watu waende makwao wakajumuike na wazazi wao.[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
R.I.P ndugu zanguAjali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Upepo mkali na madereva hawasikii haaambiliki wao wananyoosha tu
Ova
Upo sahihi kabisaMajukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Japo kuwa wengi wao nao ni mchoshoTafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Kuna wimbo mmoja wa afande sele kauimba kwa utulivu Sanaa...Kifo kipo popote pale , huwezi kukifuata wala kukikimbia.
Ulipo kipo
Yani ni huzuni kweli.Alijiandaa kwenda kusheherekea krismas na familia yake kumbe ndio alikuwa anakifata kifo chake......pole nyingi Kwa familia
Poleni sana Wafiwa.Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Kifo ni fumbo kubwa,Alijiandaa kwenda kusheherekea krismas na familia yake kumbe ndio alikuwa anakifata kifo chake......pole nyingi Kwa familia
Washaambiwa wasiwe wanasafiri kifamilia hamuelewi.Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
Kuna upepo mkali sana pale, kati ya hedaru na Same stand japo unaweza usiuone......Eneo la Same,Huko Kilimanjaro,linahitaji maombi