Amri 10 za kudanga

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
1_usidange mtaa unaoishi.
2_usidange pamoja na ndugu/rafiki ako
3_usimwambie mtu mwingine dau lako,hiyo ni Siri yako.
4_ukikopwa usitangaze
5_usijimilikishe danga
7_usilionyeshe danga unapoishi,kutaneni na kumalizana juu kwa juu.
8_ukitoka out na danga usilewe,utaliwa mtungo au kurukwa ukuta.
9_kuwa makini na danga linalokula ngada,litakulisha.
10_usitoke ndani bila zana za kazi na za kujilinda.
Na nyoka yule mkuu wa zamani atakutangulia uingiapo na utokapo.
Anima...siyo Amina lakini.
 
Mkuu danga halikopwi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Linakopwa!si unajua tena malikauli[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukikuta danga linakopwa basi ujue huyo mdangaji ni mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Ukikuta danga linakopwa basi ujue huyo mdangaji ni mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Au ni mteja kitambo![emoji122][emoji122][emoji122]
 
Je na sie wadangwaji tufanye nini ?
Aaammm...kuhusu wadangwaji nitapitia darsa kesho hizo ni ndefu kidogo!si unajua mwanaume ni kichwa..ila haraka haraka tu ukifumaniwa kataa halafu kataa tena..Kama hivi,'nachukuaje Mali mbovu hiyo?'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…