TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

Cha muhimu Jiwe awekewe speed gavana ya mdomo wake, maana anaweza ongelea ma fly-over, bombadiar, panga-boiz, stigla joji nk hapo msibani
 
Pumzika kwa amani King; tukakumiss sana. Makampuni yote yaliyokuingiza kwenye mikataba ya kitapeli yataloaaniwa!
 
Consoler in Chief.
464111cf21b1a63d0d28511c3c3c4f4d.jpg
 
Wakuu bila shaka na nyinyi ni mashahidi tosha kwamba bwana yule au ukipenda muite Jiwe huwa haudhurii kabisa misiba yoyote ile yupo radhi akafungue hata tawi la benki au jambo lolote lile ambalo halina tija kwa wakati huo lakini si kuhudhuria misiba mpaka ikafika mahala watu wakaanza kumuhisi huenda ni mshirikina.

Lakini kwa maajabu kabisa bila kutarajia tumemuona jiwe akihudhuria msiba wa Amri Athumani Majuto kitu ambacho baadhi ya watu wameingiwa na mashaka kwamba huenda kuna kitu kimejificha maana si hali ya kawaida.

Tusubiri baada ya maziko kuna mambo makubwa yataibuka kama kipindi kile cha msiba wa Masaburi yalivyoibuliwa mambo yasiyojulikana hata na wana familia ila jiwe aliyaropoka jambo ambalo halikuwafurahisha wanafamilia.
Sio kweli bana, mbona anahudhuriaga sana? Labda kama haongeagi tu ila misiba mingi tu nimemuona!!
 
TUMBO LINANIUMA KWA UCHUNGU JAMANI DAAAH HIVI MAJUTO NI KWELI AMEONDOKA?
DAAAH SO SAD
 
Pole kwa familiar yake..
Wanasiasa wanaleta siasa za kick mpk msibani..
Wapuuzi Sana.. Kuvaa nguo za chama msibani ni ushamba.. Mwambieni pole pole aache ufinyu..
 
Back
Top Bottom