TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

Cha muhimu Jiwe awekewe speed gavana ya mdomo wake, maana anaweza ongelea ma fly-over, bombadiar, panga-boiz, stigla joji nk hapo msibani
 
Pumzika kwa amani King; tukakumiss sana. Makampuni yote yaliyokuingiza kwenye mikataba ya kitapeli yataloaaniwa!
 
Sio kweli bana, mbona anahudhuriaga sana? Labda kama haongeagi tu ila misiba mingi tu nimemuona!!
 
TUMBO LINANIUMA KWA UCHUNGU JAMANI DAAAH HIVI MAJUTO NI KWELI AMEONDOKA?
DAAAH SO SAD
 
Pole kwa familiar yake..
Wanasiasa wanaleta siasa za kick mpk msibani..
Wapuuzi Sana.. Kuvaa nguo za chama msibani ni ushamba.. Mwambieni pole pole aache ufinyu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…