Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hela ya kubet huwa wanachukua wapi?Kubeti inamfanya kijana asiweze kutambua fursa za kiuchumi zilizopo eneo husika na inafanya wasiwe wabunifu zaidi ya hayo inawaathiri kisaikolojia.
Na makampuni ya pombe nayo yafungweMakampuni ya kubet yafungwe.
He? Kwani marefa wanalewa kabla ya kuchezesha?Na makampuni ya pombe nayo yafungwe
Wanaosoma vyuo wanatoa kwenye boom zao na wanaosoma sekondari wanachukua kwenye hela wanazopewa na wazazi wao. Wale wanaofanya kazi wanatoa kwenye vipato vyao.Kwahiyo hela ya kubet huwa wanachukua wapi?
Kwamba uliposema makampuni yafungwe ulimaanisha kwa kwasababu ya marefa?He? Kwani marefa wanalewa kabla ya kuchezesha?
Ndio. Kama betting inavuruga usawa kwenye soka ifutwe tu isituharibie soka.Kwamba uliposema makampuni yafungwe ulimaanisha kwa kwasababu ya marefa?