Huu mwaka mpaka muwehuke.Mvua kubwa kama Kawa , huu uchawi hauvumiliki hatuoni Tena Raha ya boli wachezaji ni full kuteleza na kucheza kwa tahadhari kubwa! Mpira ukiisha tu na mvua kwishney! Huyu mganga mshampa Prado for now!
Wydad wanagongana wenyewe kwa wenyewe inadaiwa eti jamaa wa Wydad aliemvaa mwenzake aliona kavaa red!
Shida ni huko Morocco Simba waende na kapu la kubeba magoli watapigwa week!! Mwarabu kwao akishindwa mpira anatumia refa hutoki labda na huko mvua inyeshe!!
Mtangazaji aliwaonea huruma Simba akasema angalau wangepata goli mbili Ili kwa goli moja safari yao imefika mwisho!!
Tunawehuka na makombe, nyie mna kombe moja tu la kuifunga YangaHuu mwaka mpaka muwehuke.
[emoji3][emoji3]Mvua kubwa kama Kawa , huu uchawi hauvumiliki hatuoni Tena Raha ya boli wachezaji ni full kuteleza na kucheza kwa tahadhari kubwa! Mpira ukiisha tu na mvua kwishney! Huyu mganga mshampa Prado for now! Bangala alipoomba kutolewa aliulizwa vipi shida Nini akasema mpira siuoni! Nondo alisema hakuwa akielewa Yuko home au uwanjani! Ile kauli ya kukafini maiti ilikuwa na maana nzito sana Sasa imejulikana benki imevunjwa kwa uchawi wa kiwango cha lami! Ni mvua mvua mvua jua hamna!
Wydad wanagongana wenyewe kwa wenyewe inadaiwa eti jamaa wa Wydad aliemvaa mwenzake aliona kavaa red!
Shida ni huko Morocco Simba waende na kapu la kubeba magoli watapigwa week!! Mwarabu kwao akishindwa mpira anatumia refa hutoki labda na huko mvua inyeshe!!
Mtangazaji aliwaonea huruma Simba akasema angalau wangepata goli mbili Ili kwa goli moja safari yao imefika mwisho!!
Mna maumivu sana majirani.Tunawehuka na makombe, nyie mna kombe moja tu la kuifunga Yanga
Utopolo hamna mwenye tvAmeshafungwa vipi huko kwenu nanjilinji mpira bado haujaisha tu?
Mtapigwa week huko Morocco , Leo Wydad walicheza kama wako mazoezini taratiiibu wakiogopa kuanguka kwa utelezi[emoji3][emoji3]
Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.
Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game aa gia angani kwa kudai Wydad huwa hatilii maanani game za away.
Mnazingua sana, ifikie stage mkubali TU kuwa Mnyama Yuko vizuri.
Acha tusubili hiyo game mnayoisemea.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wewe TV zipo kibao vibanda umiza utopolo tulijazana kuomba Simba ifungwe ila bahati yenu mvua ikawabeba, huko Morocco uwanja utawekwa turubali juu maji yasiguse pitch mpigwe week!!Utopolo hamna mwenye tv
Haji manara kashamaliza. Wenye akili yanga ni wawili tuMvua kubwa kama Kawa , huu uchawi hauvumiliki hatuoni Tena Raha ya boli wachezaji ni full kuteleza na kucheza kwa tahadhari kubwa! Mpira ukiisha tu na mvua kwishney! Huyu mganga mshampa Prado for now! Bangala alipoomba kutolewa aliulizwa vipi shida Nini akasema mpira siuoni! Nondo alisema hakuwa akielewa Yuko home au uwanjani! Ile kauli ya kukafini maiti ilikuwa na maana nzito sana Sasa imejulikana benki imevunjwa kwa uchawi wa kiwango cha lami! Ni mvua mvua mvua jua hamna!
Wydad wanagongana wenyewe kwa wenyewe inadaiwa eti jamaa wa Wydad aliemvaa mwenzake aliona kavaa red!
Shida ni huko Morocco Simba waende na kapu la kubeba magoli watapigwa week!! Mwarabu kwao akishindwa mpira anatumia refa hutoki labda na huko mvua inyeshe!!
Mtangazaji aliwaonea huruma Simba akasema angalau wangepata goli mbili Ili kwa goli moja safari yao imefika mwisho!!
Ila mademu wa utopolo mnaongea sanaMvua kubwa kama Kawa , huu uchawi hauvumiliki hatuoni Tena Raha ya boli wachezaji ni full kuteleza na kucheza kwa tahadhari kubwa! Mpira ukiisha tu na mvua kwishney! Huyu mganga mshampa Prado for now! Bangala alipoomba kutolewa aliulizwa vipi shida Nini akasema mpira siuoni! Nondo alisema hakuwa akielewa Yuko home au uwanjani! Ile kauli ya kukafini maiti ilikuwa na maana nzito sana Sasa imejulikana benki imevunjwa kwa uchawi wa kiwango cha lami! Ni mvua mvua mvua jua hamna!
Wydad wanagongana wenyewe kwa wenyewe inadaiwa eti jamaa wa Wydad aliemvaa mwenzake aliona kavaa red!
Shida ni huko Morocco Simba waende na kapu la kubeba magoli watapigwa week!! Mwarabu kwao akishindwa mpira anatumia refa hutoki labda na huko mvua inyeshe!!
Mtangazaji aliwaonea huruma Simba akasema angalau wangepata goli mbili Ili kwa goli moja safari yao imefika mwisho!!
Huo ndio uchambuzi wa mpira na sio utabiri au ushabiki wa kushupaza shingo. Kuchambua mpira na mazingira ya gameJamaa muoga sana. Anaogopa kupigwa mawe. Anaongelea kwenye ncha haeleweki ana msimamo gani.
Tunapindua mkekaUkweli ni kwamba Ugenini Wydadcasablanca uwa anafungwa au kutoa Sare ila uwa anafungwa kwa idadi ndogo na ukilegea anakufunga apoapo kwako. Zipo timu zilizowahi kumfunga Wydad zikiwa nyumbani kama vile Rivers, Petro,Horoya n.k
Shida inakuja wakiwa nyumbani kwao ni wachache sana waliofungwa chini ya goli tatu.
Mtu wa mpiraKwa hiyo Simba kushinda uwanja wa Benjamin Mkapa inawezekana lakini matokeo ya jumla yatategemea zaidi mechi ya pili.