Amri ya sita (Usizini)

Amri ya sita (Usizini)

Utajua wewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2024
Posts
928
Reaction score
1,836
Hamjambo;

Kumekuwa na kasumba kubwa inayokuta rika zote kuendekeza ngono kwa kiasi kikubwa huku wakiona ni ujanja.

Amri ya sita iheshimiwe hatakama umekosa elimu juu ya madhara mbalimbali kuhusu ngono basi tumia akili.

Kama huna adabu basi jifunze kuwa na aibu maana ni kituko kikubwa sana kuwa mjinga halafu unajiamini.
Nafahamu kuwa kuna viungo ambavyo huwa havisikii, ila usikubali hisia zikuendeshe.

Usikubali kuzini na mwanamke/ mwanaume kabla ya ndoa ina madhara mengi sana tusiwe kama watoto wa nursery buana.

Kingine jitahidi ukwepa dhambi, wala sio ibada.

Usizini.
 
Kabla ya Yote,Amri Ya sita sio usizini,Usizini Amri ya 7..
Screenshot_20240404-194744.png
 
Mtumishi hivi punyeto ni dhambi?
Punyeto ni dhambi ndio.
Tendo hili linahusisha kuamsha hamu kwa kuvuta hisia (meditative stimulation) mpaka kufikia sexual experience. Ni rahisi mtu kujidhani yu peke yake, lakini ukweli ni kuwa kuna mshirika wa pili anayefanya uwezekano wa kumaliza (ejaculation/climax). Hakuna mtu anayeamua tu, ngoja nipige punyeto.

Huanza kwanza hamu ambayo huuteka ufahamu na ghafla mtu hujisikia hawezi tena kuvumilia. Sasa hiyo hamu ni NGUVU YA KIROHO inayoingia mwilini, ni ulimwengu wa roho, ni pepo wachafu.

Pepo hawa wabaya ndio sex partners wa wapiga punyeto!! Wao wanashughulika na nafsi ya mtu kwa kuanza na kuiteka roho, kisha wakaungana na mtu huyu katika nafsi kuwa mwili mmoja, ndipo anaanza kujichua kwa kutumia hisia tu mpaka akakojoa.
Mtumishi hivi m
 
Kingine jitahidi ukwepa dhambi
Mwislamu kula nyama ya nguruwe ni dhambi, mkristo anamshuru na kutukuza Mungu wake nyama ya nguruwe ikiwa kwenye sahani yake.

Mkristo kuwa na mke zaidi ya mmoja ni dhambi ila mwislamu kuwa na mke mpaka wa nne ni sunna!

Dhambi ni nini!
Kanuni sheria na vigezo unavyo viamini wewe na jamii yako vikivunjwa ni dhami kwa mujibu wa hio jamii yako!

Usiweke ujumla katika kuwa hukumu watu kwa kanuni na sheria zako.
 
Kama kuzini ni kufanya tendo nje ya ndoa basi vijana wengi kuingia katika ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu n
Kama kuzini ni kufanya tendo nje ya ndoa basi vijana wengi kuingia katika ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Ni kureja toba kwa muumba wako naye atakusamehe
 
Punyeto ni dhambi ndio.
Tendo hili linahusisha kuamsha hamu kwa kuvuta hisia (meditative stimulation) mpaka kufikia sexual experience. Ni rahisi mtu kujidhani yu peke yake...
Dah peponi tutaingia kwa kujipenyeza sana mtumishi....."kufahamiana" dhambi nyeto dhambi, sa zikija tufanyeje... au ni kusali tu mtumishi hadi ziyeyuke
 
Back
Top Bottom