Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Hamjambo;
Kumekuwa na kasumba kubwa inayokuta rika zote kuendekeza ngono kwa kiasi kikubwa huku wakiona ni ujanja.
Amri ya sita iheshimiwe hatakama umekosa elimu juu ya madhara mbalimbali kuhusu ngono basi tumia akili.
Kama huna adabu basi jifunze kuwa na aibu maana ni kituko kikubwa sana kuwa mjinga halafu unajiamini.
Nafahamu kuwa kuna viungo ambavyo huwa havisikii, ila usikubali hisia zikuendeshe.
Usikubali kuzini na mwanamke/ mwanaume kabla ya ndoa ina madhara mengi sana tusiwe kama watoto wa nursery buana.
Kingine jitahidi ukwepa dhambi, wala sio ibada.
Usizini.
Kumekuwa na kasumba kubwa inayokuta rika zote kuendekeza ngono kwa kiasi kikubwa huku wakiona ni ujanja.
Amri ya sita iheshimiwe hatakama umekosa elimu juu ya madhara mbalimbali kuhusu ngono basi tumia akili.
Kama huna adabu basi jifunze kuwa na aibu maana ni kituko kikubwa sana kuwa mjinga halafu unajiamini.
Nafahamu kuwa kuna viungo ambavyo huwa havisikii, ila usikubali hisia zikuendeshe.
Usikubali kuzini na mwanamke/ mwanaume kabla ya ndoa ina madhara mengi sana tusiwe kama watoto wa nursery buana.
Kingine jitahidi ukwepa dhambi, wala sio ibada.
Usizini.