bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mtu azinie na mwanamke hana akili kwani uichafua roho yake.Amri ya
Usizini ni kwa faida yko
Usizini ni kwa faida yko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mboooo zote hizi jf ndio mpaka unyetukeMtumishi hivi punyeto ni dhambi?
Kweli unakuwa huna akili. Imagine unampa mtu hela na wala hakudai 🤣🤣🤣🤣Mtu azinie na mwanamke hana akili kwani uichafua roho yake.Amri ya
Usizini ni kwa faida yko
Ndio maajabu ya uzinzi. Inawezekana kabisa mimba ilitungiwa nyumba ya wageniNa inawezekana wewe mwenyewe umezaliwa mimba ilitungwa kwenye uzinzi huuhuu
Kutoka 20 na kumbukumbu la yorati 5Achana na wasabato
Sizioni.....we ulisema chako ni kidogo sana na haujui kukitumiaWee mboooo zote hizi jf ndio mpaka unyetuke
Mwambie akupe Uthibitisho punyeto ni dhambiMtumishi hivi punyeto ni dhambi?
Nienda nikudhange Dona🤪Kuna mjinga mmoja atakuwa anasema kama jina lako "utajua wewe"
Ila umesema ukweli mchungu
Usizini ni amri ya saba siyo ya sita. Soma kitabu cha Kutoka 20:14Hamjambo;
Kumekuwa na kasumba kubwa inayokuta rika zote kuendekeza ngono kwa kiasi kikubwa huku wakiona ni ujanja.
Amri ya sita iheshimiwe hatakama umekosa elimu juu ya madhara mbalimbali kuhusu ngono basi tumia akili.
Kama huna adabu basi jifunze kuwa na aibu maana ni kituko kikubwa sana kuwa mjinga halafu unajiamini.
Nafahamu kuwa kuna viungo ambavyo huwa havisikii, ila usikubali hisia zikuendeshe.
Usikubali kuzini na mwanamke/ mwanaume kabla ya ndoa ina madhara mengi sana tusiwe kama watoto wa nursery buana.
Kingine jitahidi ukwepa dhambi, wala sio ibada.
Usizini.
Kwann?Hizo ni taratibu tulizoamua kujiwekea tu binadamu kama ustaarabu, hakuna kitu kinaitwa dhambi.
Mimi ni wivu wa mungu umenimeza??Kuna mjinga mmoja atakuwa anasema kama jina lako "utajua wewe"
Ila umesema ukweli mchungu
Kutokana na wanadamu kutokujitambua ilibidi sheria kama hizo ziwekwe ili watu wazifuate kwa hofu ya jehanam.Kwann?
Asubutuuuuuu 😊
Kama ni kwenye Biblia amri ya sita haihusiani na uzinzi.Kaka wewe umeelewa ama unataka mabishano??
Pouwa ila usiziniKama ni kwenye Biblia amri ya sita haihusiani na uzinzi.