Amri ya sita (Usizini)

Mtu yeyeto afanyaye uzinzi sana mpe miaka mitano TU then uje uangalie maisha yake.
Achana na wale wafanyao uzinzi kama mkataba au masharti waliyopewa ili kuchukua nyota za watu.Mfno wanaojiuza wengi ni mawakala wanakusanya nyota za watu na kuua nguvu za kiroho za watu ili kuzalisha kizazi mazombi yaani watu wasio na utu ndani mwao.
Mtu ni utu.
 
Kuna mjinga mmoja atakuwa anasema kama jina lako "utajua wewe"

Ila umesema ukweli mchungu
 
Hizo ni taratibu tulizoamua kujiwekea tu binadamu kama ustaarabu, hakuna kitu kinaitwa dhambi.
 
Usizini ni amri ya saba siyo ya sita. Soma kitabu cha Kutoka 20:14
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…