ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Amsterdam:Amsterdam amechangia sana kummaliza Lissu. Angekaa kimya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amsterdam:Amsterdam amechangia sana kummaliza Lissu. Angekaa kimya tu.
Huyu ajax Amsterdam anatetea maslahi ya lissu?, Chadema?, Au Tanzania maana hasikiki akizungumzia inshu za maalim seif au ndo muda wa Kila mtu ale size yake
Amsterdam:
Tundu Lissu wapeleke mchaka mchaka [emoji23]
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Upuuzi unao wewe kwa kudhani watanzania ni wajinga kama wewe, hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
Em nitajie mfano wa nchi moja yenye iyo haki unayoitaka wewe.
Dawa yenu ni hii hapa, mkiendelea kupiga kelele ataongea na Mungu tena.
Naomba Tazama haka ka video. Wakati unatazama chukua na soda moja nakuja kulipa
wangekupoteza mapema tuuHuyu jamaa mm ningekuwa nimesomea sheria ninge deal naye mwenyewe. Maana inaonyesha elimu yake ni ndogo mnoo, lkn anajidai kwelikweli.
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Bado unapumua?
Una roho ya paka mkuu