Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBNA imekuuma Sana mkuu na usinge comment ungepita kmya kmyaSioni kama kulikuwa na haja ya kuleta stori kama hii hapa cz imesimmama kama taarifa 2 tujue nn kimetokea hapo kwake,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaaahmkuu punguzaView attachment 2114612 unaharibu hadi shape ya kichwa
Alikua anawataarifu VIJANA kuwa NDOA NGUMU.Sioni kama kulikuwa na haja ya kuleta stori kama hii hapa cz imesimmama kama taarifa 2 tujue nn kimetokea hapo kwake,
Sasa Mkuu si unngetoa Msaada kidogo kwa Jirani? Ungekuwa Msamaria Mwema…Wakuu hizi ndoa hizi zina mambo!
Iko hivi,
Jana mida ya saa nne usiku , nilingia gheto toka kwenye harakat za mapamabano ya maisha , nikapumzika kwanza kwa sebule nikipiga stori na mwandani wangu kwa phone ( maana hause niliyopanga ina sebule ambapo huwa tunakaa kubadilishana mawazo na kila mtu ana room lake )
Nili-decide kuingia kwa bafu kuoga na baadae nikarudi pale pale kufanya mambo yangu ya kiofisi, kwenye mida ya saa sita na dakika kadhaa nikasikia mlango wa nyuma unasukumwa kuchungulia ni mke wa mpangaji mwenzangu , tukapeana hai mara akazama kwa chumba Chao!
Alipoingia tu,, ghafla nikasikia vipigo vya makofi na ngumi na kilio kwa sauti kuu cha mwanamke huyo, huku sauti ya mwanaume ikisikika akihoji ulikuwa wapi usiku huu, unanifanya bwege si ndiyo?? Bas nikatulia kdogo ili nistaajabu ya musa kabla yake bwana Haruni!
Sijakaa sawa naona mtu kasukumizwa mpaka chini kwenye mlango akipigwa mabuti ya kutosha na Kisha jamaa kamvuruta mpaka nje akalock mlango wa nyuma Kisha kaingia kwenye room lao kalock kapiga usingizi,
Mimi naye nikasema isiwe tabu nikabeba tools zangu nikaingia gheto nikalock nikafungulia mzik kwa chini nisisikie kelele za kilio cha mwanamke huyo nikapiga usingizi!!
Sahii kabisa,[emoji4]Kipigo tuu ndio dawa ya mwanamke jeuri
Yaani mtoa mada sijamuelewa kabisa.ungempa msaada wa malazi
😆😆😆😆 Eeegh!.Sasa hapo ndo penyewe ungekamatia fursa ya kula kimasikhara.
KabisaSahii kabisa,[emoji4]
hana maana alikua na nafasi kubwa sana kutatua huo ugomvi....Yaani mtoa mada sijamuelewa kabisa.
Sasa mwanamke kurudi saa 6 ya usiku kwa mumewe we unaona lipo sawa hilo? Huyo katoka kutiwa mahali mabuti ilikuwa stahili yake kabisaNlitaka kuwajulisha wana jamii kuwa ndoa zina changamoto nyingi sana na nyingine sio za lazima Kama wanandoa wako makini zinaepukika
Ulitaka nae aunganishwe kwenye kipigo hiko? 😂😂😂ungempa msaada wa malazi
Mpaka anakula kichapo mana yake maelezo hayajajitosheleza😅 unaulizwa ulikuwa wapi unatoa mimacho kama Ndubwi! Lazma Mkong’oto FC uhusike.Angemuuliza kwanza labda alitekwa