MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa Washambuliaji mahiri waliowahi kupita / kucheza Yanga SC hata huyu Mayele bado hajafikia 50% isipokuwa saaa anaimbwa na kupambwa kwakuwa tu Nyota imemuwakia na Vyombo vya Habari nchini Tanzania vinampamba mno ila ni Mchezaji wa Kawaida tena sana.
Na kwa huku Kuvutana Kwenu nae kwa Siku ya 5 sasa huku akiwa bado hataki Kusaini Yanga SC mkimsajili kwa Kumbembeleza huko mtasababisha Mgawanyiko kama siyo Mpasuko mkubwa ndani ya Kikosi na mkajikuta mnaiharibu Timu nzima na ikafanya vibaya mkaanza Kuparurana na Kuvurugana kabisa.
Mruhusuni aende huko ambako anataka kwenda kwenye Fedha na nyie anzeni sasa Kumuamini kwa 100% Mshambuliaji Kennedy Musonda ambaye Kwangu Mimi Kiufundi na Kiuwezo namuona ni mzuri / zaidi hata kuliko Fiston Mayele sema tu kaja katikati ya Msimu na kamkuta Mayele Gari limeshawaka na anakubalika na kuaminika zaidi na aliyekuwa Kocha Mkuu Nabi, Viongozi, Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu ya Yanga.
Mwacheni aende Yeye siyo Mungu.
Na kwa huku Kuvutana Kwenu nae kwa Siku ya 5 sasa huku akiwa bado hataki Kusaini Yanga SC mkimsajili kwa Kumbembeleza huko mtasababisha Mgawanyiko kama siyo Mpasuko mkubwa ndani ya Kikosi na mkajikuta mnaiharibu Timu nzima na ikafanya vibaya mkaanza Kuparurana na Kuvurugana kabisa.
Mruhusuni aende huko ambako anataka kwenda kwenye Fedha na nyie anzeni sasa Kumuamini kwa 100% Mshambuliaji Kennedy Musonda ambaye Kwangu Mimi Kiufundi na Kiuwezo namuona ni mzuri / zaidi hata kuliko Fiston Mayele sema tu kaja katikati ya Msimu na kamkuta Mayele Gari limeshawaka na anakubalika na kuaminika zaidi na aliyekuwa Kocha Mkuu Nabi, Viongozi, Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu ya Yanga.
Mwacheni aende Yeye siyo Mungu.