Amuua mke wake baada ya Mganga kumwambia atamuona ndotoni

Tabora Geita Njombe hii mikoa kwa mauaji yasio kuwa na kichwa wala miguu inaongoza taifa linapoteza watu kwa vitu vya kijinga
Hayo maeneo hatari sana nakuhakikishia kwa uzoefu wangu hakuna watu wana roho mbaya kama watu wa zone hizo.We waone mjini kama mafala ila ukiingia kwenye machaka yao ndio utajua majamaa ni manyama.
 
NDIO MAANA CCM INASHINDA UCHAGUZI KILA MWAKA!!
 
Mambo mengine yanachangiwa na elimu duni.Kuna aina za ndoto tena ndoto nyingine ni marejeo ya matukio uliyoyawaza kutwa.
 
Hao watu ndio mtaji mkubwa wa chama ukiwapa kofia na shati ndio basi tena
... you're right. Hata ikiamuliwa Katiba Pendekezwa (ya Warioba) ikapigiwe kura leo watu aina hii watamiminika kwa wingi kwenda kupiga kura ya NO; kwamba iliyopo inatosheleza mahitaji kwa sasa hatuhitaji katiba nyingine zaidi ya ile 1977!
 
Kalunya Ivan Breaker GENTAMYCINE Shimba ya Buyenze Taavid kichomiz Marco Polo Ugm bin champion Unique Flower Sir Midabwada Mshana Jr Lavit JAYJAY Therealmike25
 
Duuh! Mume hajataka kufikiria mara mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…