Amuua mkewe kwa kumkata sikio na kumnyonga akihoji fedha za mauzo ya Mbuzi

Amuua mkewe kwa kumkata sikio na kumnyonga akihoji fedha za mauzo ya Mbuzi

Poverty is a big motivation
Mkuu mikoa ya Lindi na Mtwara pia kuna umasikini mkubwa sana, tena kushinda huko kanda ya ziwa but huwezi sikia wanauana kijinga hivi kama hawa wenzetu. Kuna siku nilikuwa Katavi (kuna wasukuma wengi huko siku hizi) nikakuta jamaa amemcharaza mapanga mkewe na kukimbia kisa mke kauza mpunga gunia moja ili kumtibia mtoto wao aliyekuwa amezidiwa.
 
Hawa jamaa ni makatili sana aisee yaani pesa ya mbuzi?? Sasa ingekuwa pesa ya kuuza shamba au nyumba sijui ingekuwaje.
Nlikuwa hko kipindi fulani kwenye ki grocery
Alitokea mtu anamdai jamaa 5000 alitoa panga alimpa ya kichwa Sema alimpiga kwa ubapa Dah
Huko watu roho zao kuua nyepesi sana

Ova
 
Back
Top Bottom