Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mie napinda mgongo kumpelekea moto mama yake, napata toto la kiume nalitunza kama mboni ya jicho nikitegemea ndio mrithi wangu, muendelezaji wa ukoo, mwisho wa picha nae anakuwa anataka kupumuliwa, mungu aninusuru na huu mtihani. Hata sijui nitamfanya nini.
Kwahyo unahalalisha kuutoa uhai wa binaadamu mwenzako kisa mapungufu yake? Vipi kama kila mtu akianza kujichukulia sheria mkononi je unadhani dunia itakuwa sehemu salama?
 
Ua kabisa ,na kaburi liwe Apo Apo kwake ,kila siku unalicharaza viboko
Hoja sio kutetea ushoga bali ni kwanini adhulumiwe haki yake kwa kuuwawa? Ni haki kweli si bora ujaribu kuubadili mtazamo wake kuliko kumhukumu mwingine kwa kifo!
 
Saikolojia ya namna gani ambayo inakutaka umuingilie mwanaume mwenzio au mwanaune akupumulie ni saikolojia gani?
Ni namna alivyokuwa hapa nazungumzia malezi. Kuna watu wengi sana wanazama topeni ila kisiri siri huoni tayari hilo ni tatizo? Wengine ni wahanga wa unyanyasaji tangu wakiwa wadogo. Chukulia mfano taarifa ya juzi yule mtoto wa miaka 14 aliyekuwa anawalawiti wenzake, huoni tayari ni tatizo la kisaikolojia?
 
Ni namna alivyokuwa hapa nazungumzia malezi. Kuna watu wengi sana wanazama topeni ila kisiri siri huoni tayari hilo ni tatizo? Wengine ni wahanga wa unyanyasaji tangu wakiwa wadogo. Chukulia mfano taarifa ya juzi yule mtoto wa miaka 14 aliyekuwa anawalawiti wenzake, huoni tayari ni tatizo la kisaikolojia?
We unafikiri wangejua kuwa ukifanya huo ujinga unauwawa, Hilo tatizo la kisaikolojia unalolisema lingekiwepo?
 
We unafikiri wangejua kuwa ukifanya huo ujinga unauwawa, Hilo tatizo la kisaikolojia unalolisema lingekiwepo?
Rejea uangalie sheria za UAE au QATAT juu mapenzi ya jinsia moja. Ila wao wanaongoza kwa kuzama topeni alafu wanatoka public wanajidai wanakemea. Kiufupi kuua sio suluhisho.
 
Mimi nawewe tunaeza kuifanya kuwa sehemu salama kwa kukemea mauaji ya kiholela kama hayo.
Kwa kumkubali shoga, nyinyi mnataka tukubali(tuwaheshimu), mbona nyinyi mnatukosea adabu,
Utaniuliza kivipi, nakupa mfano.

1. Huyo mtoto asingeenda na choko mwenzie kwa mzazi wake, sidhani kama yangemkuta haya.

2. Kwenye mipira, na tasnia nyingine, supastaa akisema yeye sio choko hasapoti hayo mambo atatengwa atafirisiwa, nyinyi mnafosi tuwakubali kwanini nyinyi msikubali kuwa kuna watu hawawezi kuwa nyinyi.
 
Kwa kumkubali shoga, nyinyi mnataka tukubali(tuwaheshimu), mbona nyinyi mnatukosea adabu,
Utaniuliza kivipi, nakupa mfano.

1. Huyo mtoto asingeenda na choko mwenzie kwa mzazi wake, sidhani kama yangemkuta haya.

2. Kwenye mipira, na tasnia nyingine, supastaa akisema yeye sio choko hasapoti hayo mambo atatengwa atafirisiwa, nyinyi mnafosi tuwakubali kwanini nyinyi msikubali kuwa kuna watu hawawezi kuwa nyinyi.
Hatutetei hivyo vitendo vya ushoga kwasababu wahanga wakubwa katika jamii ni watoto wetu wenyewe na pia mila zetu na dini zetu haziruhusu. Tunachotetea ni kuwa naye ni binaadamu tuheshimu hisia zake mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa kadiri ya matendo yake hapa duniani. Sana ukimuua ndio utakuwa umemaliza tatizo la ushoga kwenye jamii. makaveli10
 
Yani unalinganisha nini kati ya mtoto mwenye matatizo ya akili na lishoga.
Hebu tuanzie hapo.
Kumpenda mtu wa jinsi yako ni tatizo la kisaikolojia lazima tukubali na ndio maana kuna mtu anaeza kuwa shoga lakini baadae akifanyiwa cancelling anarudi normal. Ndio maana tunasisitiza tusiwanyanyapae wala kuwatenga na mbaya zaidi kuwaua.
 
Back
Top Bottom