44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,158
- 2,186
Sasa Kama unahamasisha ushoga wanawake mtaolewa na Nan??Kwamba ninahitaji marafiki?
Fanyeni kwa vitendo haya mnayoyaongea hapa ndo tunaamini nyie kweli vidume.
Kwanza nyie ndo mabasha za hao mnaowaita mashoga. Unafiki umewajaa