Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Kwamba ninahitaji marafiki?

Fanyeni kwa vitendo haya mnayoyaongea hapa ndo tunaamini nyie kweli vidume.
Kwanza nyie ndo mabasha za hao mnaowaita mashoga. Unafiki umewajaa
Sasa Kama unahamasisha ushoga wanawake mtaolewa na Nan??
 
Hata mkiwaua haisaidii, machoko are there to stay.
Ni vile hatuwezi kuishi miaka mingi tuone jinsi itakavyokuwa let's say miaka 100 ijayo.
Tanzania itakuja kuutambua ushoga na vibendera vya upinde vitapepea kila kona na itaonekana sawa kwa wengi.
Kwani unadhani kwa sasa hawautambui..hawa wanaojiongelesha humu mitaani kwao machoko ya mejaa na hawana cha kuyafanya...achilia mbali serikali yao inayoyalinda.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kosa ni la wazazi malezi mabovu ....Leo limetokea hili unauwa mtoto...,watoto wanapaswa kuandaliwa mapema katika maisha na njia iliyo nyooka Leo na kesho mzazi ASIJE aibika ......
 
Haishangazi,
Mnaosapoti ndio mnaoua Albinos, mnaowatelekeza Wake zenu kwa kuzaa watoto walemavu, mnaotoa pesa kwa mabinti wakazichoropoe Mimba mlizowapa,

Kiufupi Mijanaume ya Kiafrika wengi wao ni Makatili, Washenzi na wasio wastaarabu, hii ngozi ilipaswa ipotee mapema, ni aibu kuendelea kua kwenye Dunia iliyostaarabika halafu kuna Watu wana Mawazo ya karne ya tatu.
Nadhani hujatambua kati ya agano la kale na jipya..mambo mengi yalitupiliwa mbali hasa hizo sheria za jino kwa jino baada ya kristo kuja.

Shida wavaakobazi huwa mnaakili ndogo no wonder huwa mnajiripua.

Sasahivi sheria kuu kwa wakristo ni upendo kusameheana na kuombeana mana kisasi nahukumu ni juu ya muumba mwenyewe...wewe ambaye huwezi kuumba hata sisimizi una uhalali gani wa kumuua binadamu mwenzako..kwa utashi wake mwenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ujaona shoga anabeba damu yake mwenyewe,

Walawi 20:13 BHN
Kama mwanamume yeyote akilala na mwanamume mwenzake kana kwamba ni mwanamke, basi, wote wawili ni lazima wauawe kwani wamefanya jambo lililo chukizo; watawajibika kwa umwagaji wa damu yao wenyewe.
Nikumbushe Amri 10 za Mungu,
Acha kuruka ruka
 
Nadhani hujatambua kati ya agano la kale na jipya..mambo mengi yalitupiliwa mbali hasa hizo sheria za jino kwa jino baada ya kristo kuja.

Shida wavaakobazi huwa mnaakili ndogo no wonder huwa mnajiripua.

Sasahivi sheria kuu kwa wakristo ni upendo kusameheana na kuombeana mana kisasi nahukumu ni juu ya muumba mwenyewe...wewe ambaye huwezi kuumba hata sisimizi una uhalali gani wa kumuua binadamu mwenzako..kwa utashi wake mwenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
Mbona kama ume quote a wrong person?
Una kitete cha nini mwenzetu
 
Dah mtoto afirwe mpaka kuleta shoga mwenzie ni dharau zilizopindukia
Ni dharau sana kwakweli angepaswa mapee kichapo cha maana na kwafukuzia mbali..ona sasa nateseka misituni kongo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pia si jambo la kawaida kidume kumpelekea moto mtoto wa kike mkunduni.
Kama tunataka kujifanya tunamjua sana Mungu na hilo pia tulitazame.
Hizi double standards zinatoka wapi?
Mtaro ni mtaro tu uwe kwa ke ama me..ni mpuuzi na mshenzi anayefanya hayo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Asingekimbia angebaki hapo hapo na glass yake ya sumu,

Btw, umesahau yaliyomkuta Makonda alipojishebedua juu ya Mashoga?
Hajakimbia bado Yuko kwake,hebu jaribu kumfuata kwake tuone Kama hata kichwa chako kitabaki!!!
 
Kosa ni la wazazi malezi mabovu ....Leo limetokea hili unauwa mtoto...,watoto wanapaswa kuandaliwa mapema katika maisha na njia iliyo nyooka Leo na kesho mzazi ASIJE aibika ......
Malez ya wazaz yalihuskaje kwenye kujifunza ngono za jinsia moja?
 
Wewe taja unayoitaka maana tukiweka zote tunajaza server nenda kwa specific unataka niweke ipo Kati ya 10
Ziweke zote 10
Usijali kuhusu server haziwezi kujaa kwa neno la bwana
 
Back
Top Bottom