Nyambiza jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,033
- 1,841
Aisee dharau kubwa sana hii hata mm naruka na weweHiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee dharau kubwa sana hii hata mm naruka na weweHiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake,
[emoji304][emoji3059]Kijana wa upinde wa mvua acha kusumbua [emoji23][emoji23][emoji23]
Labda awe anaishi sayari ya Pluto,Yupo nyumban kwake! Wew ndo ulijificha baada ya mmeo kuuwawa
Wakati tunapiga stori nikamuuliza wewe ni mwaume au ni mwanamke? akaniambia yeye ni mwanaume nikamuuliza kwanini unafanya hiki kitendo akaniambia ndivyo alivyozaliwa kiujumla nilimkataa nikamuonya aache hicho kitendo.Duuu!! Ulichukua hatua gani ??
Dini yenu haijatoa maelekezo ya kuwaua mashoga ambao si watoto wenu?
Toa hoja za kikristu naamini ndio dini unayoiamini wewe.
Ndio. Yaweke hapa na uonyeshe mahali pameandikwa muue.Naamini katika nature, vitabu vya maandiko ya Kidini ikiwemo Biblia na Quran.
Unataka maandiko?
Niliicheki ile clip nilichoka unajuaKwani unadhani ushoga sio jambo la kawaida? Mwenzenu Diamond juzi kati hapa jukwaani kapanda na shoga, shoga anakata mauno domo anambashia watu weweeeeee wanashangilia.
Mashoga wana baraka zote za serikali yenu, ndio maana hawasumbuliwi wanajionyesha wazi bila kificho. Time will tell.
Ndo utambue kwamba haya mapambano yenu hayawafikishi popote.Niliicheki ile clip nilichoka unajua
Pole Sana mjane!!! VIP hiyo mimba aliyokuachia mmeo ukijifungua katoto umekaandalia jina gani???Labda awe anaishi sayari ya Pluto,
Sio Duniani
Una uwakika na unachokiongea kila mada nipo mkuu? Apart from that umeona sehemu yoyote ninayosupport huo uovu?Kila Mada za Ushoga upo unadhani watu watakufikiriaje???
Damu ya shoga ipo juu yake mwenyewe shoga , Yani hapo ile amri ya usiue hai applyOnly kwa huyo baba muoga ndio maana sasa hivi anajificha kama digi digi kwenye misitu ya Kongo,
Mwambieni arudi jamani
Ndio. Yaweke hapa na uonyeshe mahali pameandikwa muue.
Kama haijaandikwa hivyo usilete maandiko.
Nitamuita 44mg44Pole Sana mjane!!! VIP hiyo mimba aliyokuachia mmeo ukijifungua katoto umekaandalia jina gani???
Too much Hate means Love,Una uwakika na unachokiongea kila mada nipo mkuu? Apart from that umeona sehemu yoyote ninayosupport huo uovu?
Bwana Mokiti naona unikumbushe Amri 10 za Mungu please,Damu ya shoga ipo juu yake mwenyewe shoga , Yani hapo ile amri ya usiue hai apply
Nimekukumbusha moja usiueBwana Mokiti naona unikumbushe Amri 10 za Mungu please,
Tangu mchana unanizungusha kuna nini kwani [emoji848]