Amuua shemeji yake kisa hataki dada yake aolewe

Amuua shemeji yake kisa hataki dada yake aolewe

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wazee wivu wa hivi kwa dada zenu mnatoa wapi?

=====

Jeshi la Polisi limemkamata Festo Francis Makambula (34) Mkulima na Mkazi wa Kijiji cha Mululu Wilaya ya kipolisi Ruhembe mkoani Morogoro kwa tuhuma ya kumuua Rashid Bandei Kiupi (49) mlinzi wa kampuni ya Stigmatin.

1740128762395.png
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama amesema tukio hilo limebainika Februari 18, 2025 eneo la Mlulu-Kisanga ambapo mtuhumiwa alimvamia Rashid ambaye ni mpenzi wa Dada yake wakati akielekea kazini majira ya asubuhi na kumshambulia kisha kumchoma kisu kifuani na kupelekea kifo chake.

Uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha tukio hilo ni ugomvi unaohusiana na mahusiano ya kimapenzi ambapo mtuhumiwa hakukubaliana na Rashid (marehemu) kumuoa dada yake.
 
Wazee wivu wa hivi kwa dada zenu mnatoa wapi?

=====

Jeshi la Polisi limemkamata Festo Francis Makambula (34) Mkulima na Mkazi wa Kijiji cha Mululu Wilaya ya kipolisi Ruhembe mkoani Morogoro kwa tuhuma ya kumuua Rashid Bandei Kiupi (49) mlinzi wa kampuni ya Stigmatin.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama amesema tukio hilo limebainika Februari 18, 2025 eneo la Mlulu-Kisanga ambapo mtuhumiwa alimvamia Rashid ambaye ni mpenzi wa Dada yake wakati akielekea kazini majira ya asubuhi na kumshambulia kisha kumchoma kisu kifuani na kupelekea kifo chake.

Uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha tukio hilo ni ugomvi unaohusiana na mahusiano ya kimapenzi ambapo mtuhumiwa hakukubaliana na Rashid (marehemu) kumuoa dada yake.
Mental illness is real.
 
Rashid na Festo walipaswa kuwa marafiki lakn wakawa maadui!
Dada ana mengi ya kueleza.
 
Kweli mkuuu

M nimeikuta Moshi mkuu

Kaka anamkunguta dada mtu mbaya
Hayo yapo sana mkuu.
Mtu akienda kuchumbia anatimuliwa kama mbwa, ukiuliza sababu, eti jamaa hajafuata utaratibu, kaonesha dharau!
Kumbe ni hawala wa kakamtu!
 
Back
Top Bottom