Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Hapo mwisho umeandikiwa mkoani morogoro au huoni?Ni wapi hii wila iko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mwisho umeandikiwa mkoani morogoro au huoni?Ni wapi hii wila iko
Ipo moshi kilimanjaro
HaoniHapo mwisho umeandikiwa mkoani morogoro au huoni?
Morogoro ni pana sana ina wilaya nyingiHapo mwisho umeandikiwa mkoani morogoro au huoni?
Msihukumu ili suala ni zito na ni gumu fikilia ww dada yako aolewe nawislam akifa huruhusiwi kumuaga, au akiongeeza mke dada yako anakuja kukulia kaka yake mambo ya DINI ni mazito ndio mana dada yangu alipata mchumba mwislam nikamkataza akaweka uzibe nikaamua nimpelekee chuo akasomee kozi nyingine akiludi home field anakuwa counter kwa bar yangu yule shekhe akaondoka YESU AKAJALIA AMEOLEWA NA MKRISTO MWENZIE
Sasa mkuu na wewe ungeuliwa na huyo Kaka mtu, kwasababu siyo vuzur kitamaduni za Afrika kujionyesha kwa Kaka wa demu wake unatembea na dada yao tena hujajitambulisha kwao hiyo inakua dharau, no vizur ukianzisha Mahusiano na demu inatakiwa Kaka zake wasikujue ila Dada zake ndiyo wakujue.M NAKWAMBIA huyu sis nilikuwa nikienda Moshi ndio demu wangu aisee siku kaka kanikuta nae alifyum NKAMWAMBIA anakutom..nnn mbona sielewi
AKASEMA hamna ana WIVU...kesho yake nkaita MADOGO janja wangu
Nkaita Binti kaka sijui nani kamwambia Niko bat hio HUYO..alipoona MADOGO wamejaa akawa mdogo akaaa bar akamwita mdogo wake
Clara akaaga naomba nikamsikilixe nkajibu sawa kaenda anakwambia hataki kumwona
NKAMWAMBIA ASUBURIE NIKAITA GARI AKAINGIA KWENYE GARI MADOGO WAMEKAA TU WANAMZOOM NKAENDA GUEST KABLA YA KUGONGA NKACHUKUA SIMU YAKE NKAMWEKA KINDEGE SAA 12 NKAMRUDISHA KWAO
KESHO YAKE SAME KAKANYAGA MOTO LODGE KULA KUNYWA....GONGA MPAKA 12
NXTY DAY SAME AISEE ALIPONIONA SIKUYATATU NKAMRUDISHA DADAKE NKAONA NAITWA SHEMEJI HATUNYWI MBILITATU
BADAAE NKAWA PEKEYANGU NDIO AKAJA JAMAA MMOJA AKASEMA HAHAHAA UNAMOYO YULE BR ANAKULA DADAKE NDIO MAANA ALIKUWA ANAKAUMAINDI SANA
LOH
SIJARUDI TENA
Huenda hataki majini kwenye familia.Rashid auwawa na Fracis, kisa rashid ataka kumuoa dada wa Francis. Kuna itikati za kizayuni hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una weza kukuta kaka nae alikuwa mke mweza maana Dunia imechange saiv
Kuna kitu kimejificha hapo si bure.Wazee wivu wa hivi kwa dada zenu mnatoa wapi?
=====
Jeshi la Polisi limemkamata Festo Francis Makambula (34) Mkulima na Mkazi wa Kijiji cha Mululu Wilaya ya kipolisi Ruhembe mkoani Morogoro kwa tuhuma ya kumuua Rashid Bandei Kiupi (49) mlinzi wa kampuni ya Stigmatin.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama amesema tukio hilo limebainika Februari 18, 2025 eneo la Mlulu-Kisanga ambapo mtuhumiwa alimvamia Rashid ambaye ni mpenzi wa Dada yake wakati akielekea kazini majira ya asubuhi na kumshambulia kisha kumchoma kisu kifuani na kupelekea kifo chake.
Uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha tukio hilo ni ugomvi unaohusiana na mahusiano ya kimapenzi ambapo mtuhumiwa hakukubaliana na Rashid (marehemu) kumuoa dada yake.
View attachment 3243902