Amuua shemeji yake kisa hataki dada yake aolewe

Amuua shemeji yake kisa hataki dada yake aolewe

Msihukumu ili suala ni zito na ni gumu fikilia ww dada yako aolewe nawislam akifa huruhusiwi kumuaga, au akiongeeza mke dada yako anakuja kukulia kaka yake mambo ya DINI ni mazito ndio mana dada yangu alipata mchumba mwislam nikamkataza akaweka uzibe nikaamua nimpelekee chuo akasomee kozi nyingine akiludi home field anakuwa counter kwa bar yangu yule shekhe akaondoka YESU AKAJALIA AMEOLEWA NA MKRISTO MWENZIE
 
Hayo yapo sana mkuu.
Mtu akienda kuchumbia anatimuliwa kama mbwa, ukiuliza sababu, eti jamaa hajafuata utaratibu, kaonesha dharau!
Kumbe ni hawala wa kakamtu!
M NAKWAMBIA huyu sis nilikuwa nikienda Moshi ndio demu wangu aisee siku kaka kanikuta nae alifyum NKAMWAMBIA anakutom..nnn mbona sielewi

AKASEMA hamna ana WIVU...kesho yake nkaita MADOGO janja wangu
Nkaita Binti kaka sijui nani kamwambia Niko bat hio HUYO..alipoona MADOGO wamejaa akawa mdogo akaaa bar akamwita mdogo wake

Clara akaaga naomba nikamsikilixe nkajibu sawa kaenda anakwambia hataki kumwona

NKAMWAMBIA ASUBURIE NIKAITA GARI AKAINGIA KWENYE GARI MADOGO WAMEKAA TU WANAMZOOM NKAENDA GUEST KABLA YA KUGONGA NKACHUKUA SIMU YAKE NKAMWEKA KINDEGE SAA 12 NKAMRUDISHA KWAO

KESHO YAKE SAME KAKANYAGA MOTO LODGE KULA KUNYWA....GONGA MPAKA 12
NXTY DAY SAME AISEE ALIPONIONA SIKUYATATU NKAMRUDISHA DADAKE NKAONA NAITWA SHEMEJI HATUNYWI MBILITATU

BADAAE NKAWA PEKEYANGU NDIO AKAJA JAMAA MMOJA AKASEMA HAHAHAA UNAMOYO YULE BR ANAKULA DADAKE NDIO MAANA ALIKUWA ANAKAUMAINDI SANA

LOH

SIJARUDI TENA
 
M NAKWAMBIA huyu sis nilikuwa nikienda Moshi ndio demu wangu aisee siku kaka kanikuta nae alifyum NKAMWAMBIA anakutom..nnn mbona sielewi

AKASEMA hamna ana WIVU...kesho yake nkaita MADOGO janja wangu
Nkaita Binti kaka sijui nani kamwambia Niko bat hio HUYO..alipoona MADOGO wamejaa akawa mdogo akaaa bar akamwita mdogo wake

Clara akaaga naomba nikamsikilixe nkajibu sawa kaenda anakwambia hataki kumwona

NKAMWAMBIA ASUBURIE NIKAITA GARI AKAINGIA KWENYE GARI MADOGO WAMEKAA TU WANAMZOOM NKAENDA GUEST KABLA YA KUGONGA NKACHUKUA SIMU YAKE NKAMWEKA KINDEGE SAA 12 NKAMRUDISHA KWAO

KESHO YAKE SAME KAKANYAGA MOTO LODGE KULA KUNYWA....GONGA MPAKA 12
NXTY DAY SAME AISEE ALIPONIONA SIKUYATATU NKAMRUDISHA DADAKE NKAONA NAITWA SHEMEJI HATUNYWI MBILITATU

BADAAE NKAWA PEKEYANGU NDIO AKAJA JAMAA MMOJA AKASEMA HAHAHAA UNAMOYO YULE BR ANAKULA DADAKE NDIO MAANA ALIKUWA ANAKAUMAINDI SANA

LOH

SIJARUDI TENA
We jamaa una madini Sana SEMA changamoto uandishi..

Nakuwaga interested na story zako..
 
kama marehemu ni kobz kwakweli niweke wazi hisia zangu (mnisamehe) siwezi kuruhusu dada yangu au mtoto wangu kuoa au kolewa na watu wa dini hio

katu katu siwezi
 
kama marehemu ni kobz kwakweli niweke wazi hisia zangu (mnisamehe) siwezi kuruhusu dada yangu au mtoto wangu kuoa au kolewa na watu wa dini hio

katu katu siwezi
Kama wameamuwa huna huo ubavu wa kuwakataza wataolewa na hakuna kitu utafanya.

Hata sasa hivi sia ajabu maboy frend wa mabinti zako ni hao kobanz sema ww hujui.
 
Back
Top Bottom