Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Msihukumu ili suala ni zito na ni gumu fikilia ww dada yako aolewe nawislam akifa huruhusiwi kumuaga, au akiongeeza mke dada yako anakuja kukulia kaka yake mambo ya DINI ni mazito ndio mana dada yangu alipata mchumba mwislam nikamkataza akaweka uzibe nikaamua nimpelekee chuo akasomee kozi nyingine akiludi home field anakuwa counter kwa bar yangu yule shekhe akaondoka YESU AKAJALIA AMEOLEWA NA MKRISTO MWENZIE