Amuua shemeji yake kisa hataki dada yake aolewe

Hapo mwisho umeandikiwa mkoani morogoro au huoni?
Morogoro ni pana sana ina wilaya nyingi
  1. Morogoro
  2. Mvomero
  3. Kilosa
  4. Kilombero
  5. Malinyi
  6. Ulanga
  7. Mahenge
  8. Gairo
Ndiyo nataka kujua ni wapi specifically hiyo Ruhembe ipo
 

Sasa mkuu na wewe ungeuliwa na huyo Kaka mtu, kwasababu siyo vuzur kitamaduni za Afrika kujionyesha kwa Kaka wa demu wake unatembea na dada yao tena hujajitambulisha kwao hiyo inakua dharau, no vizur ukianzisha Mahusiano na demu inatakiwa Kaka zake wasikujue ila Dada zake ndiyo wakujue.
 
Kuna kitu kimejificha hapo si bure.

Huenda pia marehemu alikuwa anamtambia mshitakiwa.
 
Nawaza kwa sauti ingekuwa ni Rashid ndio kamuuwa Festo kelele za wavimba macho zingekuwa nyingi sana.Ni muuaji lakini anatafutiwa sababu.Chuki ni ugonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…