Umbali ni kama kilometer 150 toka Tanga, gharama inategemea na lodge/ hotel utakayofikia lakini za juu mf. lawns zina range kwenye 60 mpaka 70 Tsh.s ni sehemu nzuri sana ya kutembelea ukipata nafasi yako. Hahaaha Mzee mkapa kajenga huko nasikiaDah mandhari nzuri hadi basi,aisee hv huko nikitaka eneo la kuishi naweza pata pa kujenga au ndo utaambiwa eneo lote ni la mzee Ben a.k.a Futufutu?
Hv umbali wake ni km ngapi mpaka Tanga mjini?
Gharama ya hapo hoteli ni bei gani per day?
Nisaidie majibu mkuu Waterloo
Sent using Jamii Forums mobile app
Great memories!
Sky Eclat njoo uone kule tulijifunza kuvaa tie na kusema kidhungu/Lushoto (Kifungilo)
[emoji23][emoji23][emoji23] Naona somo la JPM la uzalendo linaanza kuzaa matunda kwa watu fulani fulani, ile pinga pinga mpaka jinsia yako Inaanza kutoweka tartiiib
Wewe hata kuku wako akitaga sifa unanampa magufuli! Koronya kabisa wewe!πππ Naona somo la JPM la uzalendo linaanza kuzaa matunda kwa watu fulani fulani, ile pinga pinga mpaka jinsia yako Inaanza kutoweka tartiiib
Wanajadiliana waje na picha za Meru au Nakuru ili Ku counter Lushoto the Magnificent
Hahaahaha mkuu utani huo..Wanajadiliana waje na picha za Meru au Nakuru ili Ku counter Lushoto the Magnificent
Congo siyo Kongowe