An African Switzerland!

Kweli tuna mengi ya kujisifia
Woow mandhari ya maporomko ya maji hadi raha
Asante kwa kuleta picha hizi na Mungu akiniwezesha ntakuja huko

Sent from my SM using Tapatalk
 
Kusema kweli naona pa kawaida tu sana ila naweza sema Tanzania is very beautiful lakini developmentwise mpo nyuma sana. Sijui nitembelee maeneo gani huu mwaka. Arusha ni pazuri sana.
Moderator huu Uzi hauhusu Kenya.
Roho mbaya
Chuki
Wivu
lkn nakupenda pamoja na yote hayo ukija arusha usiache kunitafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mambo kama haya ndio napendaga sana yaona
 
bei si mbaya kwa kweli ukilinganisha na mandhari yenyewe
 
Kusema kweli naona pa kawaida tu sana ila naweza sema Tanzania is very beautiful lakini developmentwise mpo nyuma sana. Sijui nitembelee maeneo gani huu mwaka. Arusha ni pazuri sana.
Moderator huu Uzi hauhusu Kenya.
Mbona unajichanganya mara Tanzania ni pazuri sana ,mara ni pakawaida sana hueleweki. Halafu kuweka huu Uzi hapa ni ili kuwaonesha nyie wakenya sehemu nzuri za kuja kutembea na nimeeleza tangu mwanzo hapo juu please usiwe na jealousy Janerose mzalendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
basi ni kama Makha au Madina
 
Huko Yugoslavia ndio umepewa uraia? Jina lako kama vile unatokea Burundi au Rwanda. Sorry kama nitakua nimekukwaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
no sijapewa uraia ila yugoslavia ndio home

irakunda ni jina la mfalme wa kwanza wa yugoslavia (sengimana irakunda) huyu mfalme aliwai kutawala rwandaUrundi na baadhi ya maeneo ya kongo so hili jina kiasili ni la yugoslavia huko burundi na rwanda waliiga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahaaa haaa haaa
Europe now is cold and dark. I hate Europe in this season. the pinch will go through March.

indeed, go east go west, there is no place like Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…