KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
mimi feb nipo A-town nikila bata, tho Dar nikupiga biasharaNjooni hata na matarumbeta msiogope nchi huru hii. Nashukuru kwa kuwa mkenya wakwanza kusifia uzuri wa nchi yetu hapa katika jukwaa lenu.wengine wanapita kimya kimya tu wanasoma hawakomenti chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app