mzunguko wangu ni siku 30 maana nikianza bleedy tar.6 nimpaka tar.6 mwezi mwingine na njia niliyotumia kuzuia mimba ni withdraw methodKwanza unatakiwa ujue kuwa upo katika mzunguko wa ngapi, baada ya hapo ndio unaweza kupata jibu sahihi. Ila wanawake wengi mzunguko wao ni siku 28-29 sasa kama upo kwenye mzunguko huo kama ulifanya mapenzi bila kinga kuanzia siku ya 12 au ya 16-17 basi ( na maanisha kuanzia siku ya 12 mpaka 17) basi ujue huo ni ujauzito. Maana siku ya hatari kabisa ni siku ya 14.
mzunguko wangu ni siku 30 maana nikianza bleedy tar.6 nimpaka tar.6 mwezi mwingine na njia niliyotumia kuzuia mimba ni withdraw method
mzunguko wangu ni siku 30 maana nikianza bleedy tar.6 nimpaka tar.6 mwezi mwingine na njia niliyotumia kuzuia mimba ni withdraw method
mzunguko wangu ni siku 30 maana nikianza bleedy tar.6 nimpaka tar.6 mwezi mwingine na njia niliyotumia kuzuia mimba ni withdraw method
mzunguko wangu ni siku 30 maana nikianza bleedy tar.6 nimpaka tar.6 mwezi mwingine na njia niliyotumia kuzuia mimba ni withdraw method[/QUOTE
withdraw method ukitumia kuna uwezekano wa kupata mimba ni mkubwa
siku zangu za kupata bleedy zimeoitiliza sahiv nasikia maumivu kidogo chin ya kitovu hii ni dalili ya nini?
nikipimwa kwa ultrasound itaonekana?Kanunue Pregnancy test Mkuu, ni 1,000 tu kisha fuata melekezo. Na kama huwezi kukutumia hiko kifaa tutaarifu tukuelekeze.
Kipimo hiki kinafanya kazi baada ya wiki mbili.