rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,420
jana nimemsikiliza akiongea kuhusu jeshi letu,
mbona huyu mama anaongea kama mtu mwenye mamlaka?
mbona wee mzee wa mishen town usimpe uwaziri huyu mama?
mama lakini mbona unazeeka haraka?
take it easy mama,maisha ndo hivyo!
asante sana!!!!!!!!!!!!!!!
mbona huyu mama anaongea kama mtu mwenye mamlaka?
mbona wee mzee wa mishen town usimpe uwaziri huyu mama?
mama lakini mbona unazeeka haraka?
take it easy mama,maisha ndo hivyo!
asante sana!!!!!!!!!!!!!!!