Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada umeuliza swali kwa comment ya 2011!Anawatunza?
Naona MBOZI ya jamaa Ina matawimatawi, matawi yanapiga pande zote za Tukuyui see hivi ana thumaku huyo ama urimbo?:lol::A S-coffee:
Family car happy lazima iwe CoasterNaona usipoangalia utajiingiza kwenye foleni ya kuwa mmoja wa wake zake wengi. Unanikumbusha ndugu yangu aliyefikisha umri wa miaka sitini akiwa na watoto 23 aliowazaa na wanawake mbalimbali. Hujivuna kuwataja na kusema ana timu 2 za mpira wa miguu.
Mkuu....Dada umeuliza swali kwa comment ya 2011!
Alikwishatangulia mbele ya haki. Ila alipokuwepo utunzaji watoto ulikuwa mgogoro!
Pole sana rafikiHuyu ndiye mwanaume nimpendae, tatizo ana watoto watatu na hajaoa, na pia anasumbuliwa sana na wanawake wake wa zamani na wanawake wengi wanamtongoza kwenye simu na kila tutokapo out.
Je, nifanyeje ili atulie na awe wangu peke yangu? Na niwafanye nini wanaomtongoza usiku na mchana?