Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 566
- 1,583
Hello Waungwana
Nilikuwa kwenye Mahusiano na binti mmoja hivi cheupe toka January mwaka huu
Tulianza date taratibu na mwisho penzi likakolea nikasema,sasa hapa nimefika na kamwe sitoweza kutoka. Ndani ya mwezi mmoja nikaanza kuona some features toka kwa huyu binti kuwa hanifai
Alikuwa hataki niguse sim yake, na nikigusa nakuta chatting za Mabwana zake na nikimuuuliza anasema uwa Ana-share simu na dada yake, kwahiyo hizo chatting ni za dada yake wala sio zake😭😭
June Mwaka huu akanipa taarifa kuwa amekwenda kupima na akaambiwa ni mjamzito na muhusika Mkuu wa huo ujauzito ni mimi
Nikirudi nyuma kidogo kabla ya tukio la Mimba,alinitafuta kuwa yako horny(Ana alosto ya ukuni🍆) nikamwambia nipo na stress so, tufanye siku nyingine Ila akakazana sana kuwa anataka tu aje walau tufanye kidogo, nikamruhusu akaja Ila one week later akanipa taarifa za ujauzito. Hapo nikahisi anataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia Ila nikajifanya kukausha tu nione ataishia. Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu
Juzi kuna mwanangu akanipa story kuwa huyo binti anayedai Ana mimba yangu amemuona anatoka kwa jamaa mwingine chumbani kwa huyo jamaa, kiufupi alilala nae mpaka asubuhi
Nilipofanya upelelezi nikagundua ni kweli wapo kwenye mahusiano Ila nilipomuuliza kwanza akagoma kuhusu kumfahamu huyo bwana ila nilipo mlazimisha akakiri kufahamiana nae ila uwa ni rafiki yake tu
Nimemwambia asinitafute tena na ata huyo mtoto ninahisi sio wangu hivyo atafute baba wa hiyo Mimba
Wanawake ni Pasua kichwa, kijana ukiona dalili za mwanzo kabisa kwa binti,jua kwamba huyo hakufai na hastahili kuwa nae kwenye safari za kimaisha
Nilikuwa kwenye Mahusiano na binti mmoja hivi cheupe toka January mwaka huu
Tulianza date taratibu na mwisho penzi likakolea nikasema,sasa hapa nimefika na kamwe sitoweza kutoka. Ndani ya mwezi mmoja nikaanza kuona some features toka kwa huyu binti kuwa hanifai
Alikuwa hataki niguse sim yake, na nikigusa nakuta chatting za Mabwana zake na nikimuuuliza anasema uwa Ana-share simu na dada yake, kwahiyo hizo chatting ni za dada yake wala sio zake😭😭
June Mwaka huu akanipa taarifa kuwa amekwenda kupima na akaambiwa ni mjamzito na muhusika Mkuu wa huo ujauzito ni mimi
Nikirudi nyuma kidogo kabla ya tukio la Mimba,alinitafuta kuwa yako horny(Ana alosto ya ukuni🍆) nikamwambia nipo na stress so, tufanye siku nyingine Ila akakazana sana kuwa anataka tu aje walau tufanye kidogo, nikamruhusu akaja Ila one week later akanipa taarifa za ujauzito. Hapo nikahisi anataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia Ila nikajifanya kukausha tu nione ataishia. Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu
Juzi kuna mwanangu akanipa story kuwa huyo binti anayedai Ana mimba yangu amemuona anatoka kwa jamaa mwingine chumbani kwa huyo jamaa, kiufupi alilala nae mpaka asubuhi
Nilipofanya upelelezi nikagundua ni kweli wapo kwenye mahusiano Ila nilipomuuliza kwanza akagoma kuhusu kumfahamu huyo bwana ila nilipo mlazimisha akakiri kufahamiana nae ila uwa ni rafiki yake tu
Nimemwambia asinitafute tena na ata huyo mtoto ninahisi sio wangu hivyo atafute baba wa hiyo Mimba
Wanawake ni Pasua kichwa, kijana ukiona dalili za mwanzo kabisa kwa binti,jua kwamba huyo hakufai na hastahili kuwa nae kwenye safari za kimaisha