Ana Mimba yangu ila nimebaini anani-cheat kirahisi sana

Ana Mimba yangu ila nimebaini anani-cheat kirahisi sana

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Hello Waungwana

Nilikuwa kwenye Mahusiano na binti mmoja hivi cheupe toka January mwaka huu

Tulianza date taratibu na mwisho penzi likakolea nikasema,sasa hapa nimefika na kamwe sitoweza kutoka. Ndani ya mwezi mmoja nikaanza kuona some features toka kwa huyu binti kuwa hanifai

Alikuwa hataki niguse sim yake, na nikigusa nakuta chatting za Mabwana zake na nikimuuuliza anasema uwa Ana-share simu na dada yake, kwahiyo hizo chatting ni za dada yake wala sio zake😭😭

June Mwaka huu akanipa taarifa kuwa amekwenda kupima na akaambiwa ni mjamzito na muhusika Mkuu wa huo ujauzito ni mimi

Nikirudi nyuma kidogo kabla ya tukio la Mimba,alinitafuta kuwa yako horny(Ana alosto ya ukuni🍆) nikamwambia nipo na stress so, tufanye siku nyingine Ila akakazana sana kuwa anataka tu aje walau tufanye kidogo, nikamruhusu akaja Ila one week later akanipa taarifa za ujauzito. Hapo nikahisi anataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia Ila nikajifanya kukausha tu nione ataishia. Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu

Juzi kuna mwanangu akanipa story kuwa huyo binti anayedai Ana mimba yangu amemuona anatoka kwa jamaa mwingine chumbani kwa huyo jamaa, kiufupi alilala nae mpaka asubuhi

Nilipofanya upelelezi nikagundua ni kweli wapo kwenye mahusiano Ila nilipomuuliza kwanza akagoma kuhusu kumfahamu huyo bwana ila nilipo mlazimisha akakiri kufahamiana nae ila uwa ni rafiki yake tu

Nimemwambia asinitafute tena na ata huyo mtoto ninahisi sio wangu hivyo atafute baba wa hiyo Mimba

Wanawake ni Pasua kichwa, kijana ukiona dalili za mwanzo kabisa kwa binti,jua kwamba huyo hakufai na hastahili kuwa nae kwenye safari za kimaisha
 
Nieleze makutano yenu ya kwanza na huyo binti ndo nianze kukushauri.
Niliomba show ndani ya week hiyo toka nimtongoze na akakubali,alipokuja alikuwa ni binti ambaye mbususu yake inabana kabisa Yani Kama mtu ambae hajazoea mizagamuo

Ila mpaka sasa nimefaham itakuwa kuna kitu uwa anafanya
 
Niliomba show ndani ya week hiyo toka nimtongoze na akakubali,alipokuja alikuwa ni binti ambaye mbususu yake inabana kabisa Yani Kama mtu ambae hajazoea mizagamuo

Ila mpaka sasa nimefaham itakuwa kuna kitu uwa anafanya
Mkuu kwanza nkupongeze kwa hatua ulioyofanya, ilibaki kidogo uingie kwenye list ya wanaume wajinga
 
Back
Top Bottom