TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Hiyo ni mimba yenu masela sio yako,usikute naye hajui nani aliweka, kaamua kukufanya mbusi wa kafara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata me naona anataka kuniingiza chaka maana itakuwa amekutana na vidume wengi kwa wakat mmoja hivyo hajui baba halisi na mm sitaki huo upuuzi tenaHiyo ni mimba yenu masela sio yako,usikute naye hajui nani aliweka, kaamua kukufanya mbusi wa kafara
Kwamb awashtue masela wakapige mande sio ? 😃Usimuache hivi hivi inabidi amuombe msamaha Afande
Wapi nimesema hivyo ? Au wewe ndo unataka iwe hivyo 🤣😁Kwamb awashtue masela wakapige mande sio ? 😃
Kuhusu mtoto umechukua maamuzi ya haraka sana. Ungesubiri then upime kabisa, japokwua bibie haaminikiHello Waungwana
Nilikuwa kwenye Mahusiano na binti mmoja hivi cheupe toka January mwaka huu
Tulianza date taratibu na mwisho penzi likakolea nikasema,sasa hapa nimefika na kamwe sitoweza kutoka. Ndani ya mwezi mmoja nikaanza kuona some features toka kwa huyu binti kuwa hanifai
Alikuwa hataki niguse sim yake, na nikigusa nakuta chatting za Mabwana zake na nikimuuuliza anasema uwa Ana-share simu na dada yake, kwahiyo hizo chatting ni za dada yake wala sio zake😭😭
June Mwaka huu akanipa taarifa kuwa amekwenda kupima na akaambiwa ni mjamzito na muhusika Mkuu wa huo ujauzito ni mimi
Nikirudi nyuma kidogo kabla ya tukio la Mimba,alinitafuta kuwa yako horny(Ana alosto ya ukuni🍆) nikamwambia nipo na stress so, tufanye siku nyingine Ila akakazana sana kuwa anataka tu aje walau tufanye kidogo, nikamruhusu akaja Ila one week later akanipa taarifa za ujauzito. Hapo nikahisi anataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia Ila nikajifanya kukausha tu nione ataishia. Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu
Juzi kuna mwanangu akanipa story kuwa huyo binti anayedai Ana mimba yangu amemuona anatoka kwa jamaa mwingine chumbani kwa huyo jamaa, kiufupi alilala nae mpaka asubuhi
Nilipofanya upelelezi nikagundua ni kweli wapo kwenye mahusiano Ila nilipomuuliza kwanza akagoma kuhusu kumfahamu huyo bwana ila nilipo mlazimisha akakiri kufahamiana nae ila uwa ni rafiki yake tu
Nimemwambia asinitafute tena na ata huyo mtoto ninahisi sio wangu hivyo atafute baba wa hiyo Mimba
Wanawake ni Pasua kichwa, kijana ukiona dalili za mwanzo kabisa kwa binti,jua kwamba huyo hakufai na hastahili kuwa nae kwenye safari za kimaisha
Mapenzi ufala sanaila mapenzi
Baada ya mimba ndo umekuwa busy na maisha hutak mapenzi tena 😂Nipo busy na maisha kwa sasa sitaki mpenzi tena
Hii ilikuwa ni zinaaa halafu kwanini hawaku play safe ? Vijana huwa tunatafuta matatizo kwa nguvuila mapenzi
Kupoozea machungu ya kugongewaHiyo ingemsaidia nini?
EP ya Ali K nyimbo zotesingo maza mtarajiwa... tumkaribishe kwa wimbo gani?
kwa kweli wangetumia kinga au angemwaga nje yasingewakutaHii ilikuwa ni zinaaa halafu kwanini hawaku play safe ? Vijana huwa tunatafuta matatizo kwa nguvu
Kinga ni bora kuliko kumwaga nje, hivi unajua mbegu za kiume ni zaidi ya mafuta ya kunawilisha ngozi kwa Wanawake?🤣🤣🤣kwa kweli wangetumia kinga au angemwaga nje yasingewakuta