Ana Mimba yangu ila nimebaini anani-cheat kirahisi sana

Hiyo ni mimba yenu masela sio yako,usikute naye hajui nani aliweka, kaamua kukufanya mbusi wa kafara
Ata me naona anataka kuniingiza chaka maana itakuwa amekutana na vidume wengi kwa wakat mmoja hivyo hajui baba halisi na mm sitaki huo upuuzi tena

Nipo busy na maisha kwa sasa sitaki mpenzi tena
 
Mimba yako kivipi wakati ipo kwenye tumbo la mtu mwingine?
 
Kuhusu mtoto umechukua maamuzi ya haraka sana. Ungesubiri then upime kabisa, japokwua bibie haaminiki
 
kwa kweli wangetumia kinga au angemwaga nje yasingewakuta
Kinga ni bora kuliko kumwaga nje, hivi unajua mbegu za kiume ni zaidi ya mafuta ya kunawilisha ngozi kwa Wanawake?🤣🤣🤣
 
Nje kidogo ya mada ila nipo ndani kiasi..
Nauliza sio kwa ubaya, Hivi sasa hivi kwani ghalama za DNA ni shilingi ngapi. Je kwa hapa bongo ni hospitali gani wanafanya au hata hizi polyclinics nikienda wanani rekebishia mchongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…