Ana Mimba yangu ila nimebaini anani-cheat kirahisi sana

Kwa miaka ya sasa kuanzisha familia ni swala la mbinde sana yaani mtiti kweli kweli.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Sirudii tena ule upuuzi,nimepiga block kila sehemu mpaka WhatsApp……..nimeamua kumrudia muumba🙏🏿
 
Ata me naona anataka kuniingiza chaka maana itakuwa amekutana na vidume wengi kwa wakat mmoja hivyo hajui baba halisi na mm sitaki huo upuuzi tena

Nipo busy na maisha kwa sasa sitaki mpenzi tena
Umewekeza muda na hisia kwa mtu asiye sahihi mkuu
 
Nje kidogo ya mada ila nipo ndani kiasi..
Nauliza sio kwa ubaya, Hivi sasa hivi kwani ghalama za DNA ni shilingi ngapi. Je kwa hapa bongo ni hospitali gani wanafanya au hata hizi polyclinics nikienda wanani rekebishia mchongo.
Pole sana mkuu, we lea tuu hao viumbe vya Mungu bila kujali baba n nani na watakuwa baraka kwako
 
Niliomba show ndani ya week hiyo toka nimtongoze na akakubali,alipokuja alikuwa ni binti ambaye mbususu yake inabana kabisa Yani Kama mtu ambae hajazoea mizagamuo

Ila mpaka sasa nimefaham itakuwa kuna kitu uwa anafanya
Wanawekaga malimau hao 😂😂😂 unaweza hisi bikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…