We kenge Hebu nielewe ni hivi tulielezana kuwa tutakuwa tunaonjeshana kisela na isitoshe mi nilimuomba uch. yeye ananiongezea na mimba ambacho kitu sikukitaka.Kiherehere chako pia usojituliza na mkeo.Alikubaka au alikulazimisha si ni makubaliano yenu wote wawili tena bila kinga.At the end ni mwili wake huwezi kumlazimisha kuua kiumbe kisicho na hatia!
Hapa.ndo napokuona immature.kajiongeza mwenyewe na kiherehere chake cha kutaka kujipenyeza kwenye maisha YANGU kinguvu
Yani huyo ni mkaa njia ndugu yangu.Sitaki kuvuruga maisha kwa sababu ya huyu mpita njia
Huyu hata hashauriki labda anataka kufurahisha jukwaa!Hapa.ndo napokuona immature.
Wajibika kwa makosa yako, alikubaka?
Alizikuta mbegu zako kwenye chupa ya Sayona akanywa?
Alikuta zinacheza ndombolo akacheza nazo?
Si ulimtongoz, si ulimtomba?
Utalea huyo mtoto.
Na mkeo akijua unalo vile vile.
We ongeeaaaaa ila dogo atazaliwa.Maisha YANGU sijayapanga kuinuliwa na mtoto nimejiwekea kutokuwa msumbufu kwa watoto wangu nina Armani zangu ambazo zitanifanya nisiwe mzigo kwa wanangu
Ndo alivyo mzoee.Huyu hata hashauriki labda anataka kufurahisha jukwaa!
Haya baba kijacho,fanya ile kitu nafsi inakuridhia 😉kwa hiyo kukubari ndo kuonesha nashaurika
Kwa kiasi fulani umeanza kujustify hiyo mess yako,Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi.
Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichuri.
Kifupi amepata mimba ya mwezi mmoja na hataki kusikia habari ya kutoa, anadai alikuwa anahangaika kupata mimba na ananishukuru mimi kwa kumpa mimba. Mimi nimeoa wale Wanawake wanajiita wasomi yaani anapenda kazi kuliko mume na tunakaa mkoa tofauti tofauti kwa sababu ya kazi.
Mimi nimepanic Ilayeye ana furaha ya ajabu kiasi kwamba nikiona hivyo nazidi kupagawa. Anakataa hata kukutana na mimi, anajua naweza nnikamnyang'anya mimba yake.
KI UKWELI MI SITAKI KUZAA NAYE KWA SABABU NITAVURUGA NDOA YANGU.
Tusaidiane namna gani naweza kuukwepa huu mtego. Sitaki tena sitaki kuwa na mtoto wa nje
DAaa there you are hapa ndo sipataki. Nachokimbia ni vibawasiri kama means wako ulioutoa. Italeta stress and unrest za kijinga kwenye maisha yanguWe ongeeaaaaa ila dogo alizaliwa.
Count them days.
Tukutane baada ya miaka 2, ukianza kupigiwa simu usiku.
Junior amegoma kulala anataka kukusikia.
Sheeeenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ilibidi tu uyawaze mwanzo.DAaa there you are hapa ndo sipataki. Nachokimbia ni vibawasiri kama means wako ulioutoa. Italeta stress and unrest za kijinga kwenye maisha yangu
Kwenye magonjwa haswa HIV mimi tangu niwe na kipato changu sili demu mpaka tupime hutaki sepa. Ni hivi huyu Alikuwa ananimendea ili nizame anibebe mimba kuna nia anayo na alishawahi ongelea kubwa ni kwamba kajua mke wangu hana time na kuhusu kunihudumia kaona hii ni fursa kwake kufanya jaribio la kuokota NDOANa kumbe mlidiscuss?
Na mkakubaliana msitumie kinga?
Kama ulikuwa radhi akupe magonjwa, kwann unang'aka kwa mimba.
Baba unalo
Kondom najijuaga sipendi kutumia huwa natumia first round tu nyingine siwezagi. ZINABANA DUSHEREREHaya ilibidi tu uyawaze mwanzo.
By fucking a woman, much worse bila kinga.
Buddy manake uko tayari kwa lolote.
Vinginevyo ulitakiwa kutuliza kende.
Au kama vipi kuchukua necessary measures
Ewaaaaaaah.kondom najijuaga sipendi kutumia huwa natumia first round tu nyingine siwezagi. ZINABANA DUSHERERE
Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi.
Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichuri.
Kifupi amepata mimba ya mwezi mmoja na hataki kusikia habari ya kutoa, anadai alikuwa anahangaika kupata mimba na ananishukuru mimi kwa kumpa mimba. Mimi nimeoa wale Wanawake wanajiita wasomi yaani anapenda kazi kuliko mume na tunakaa mkoa tofauti tofauti kwa sababu ya kazi.
Mimi nimepanic Ilayeye ana furaha ya ajabu kiasi kwamba nikiona hivyo nazidi kupagawa. Anakataa hata kukutana na mimi, anajua naweza nnikamnyang'anya mimba yake.
KI UKWELI MI SITAKI KUZAA NAYE KWA SABABU NITAVURUGA NDOA YANGU.
Tusaidiane namna gani naweza kuukwepa huu mtego. Sitaki tena sitaki kuwa na mtoto wa nje
Hio njia niliokupa ndio nzuri sasa inatoka yenyewe bila kupenda kwakua ni ya mwezi mmojanachukua hii. Jamani niwaambieni kitu ubongo wangu kuwa na mtoto wa nje umegoma. Yaani kichwani mwangu kuna mawili tu. 1.Akizaa mtoto simtambui wala sitamtafuta na napiganisha nihame 2.Kuitoa mimba for any means ina mwezi mmoja tu coz alitakiwa aingie period tarehe 3. July
We jieleeeeezeeekwenye magonjwa haswa HIV mimi tangu niwe na kipato changu sili demu mpaka tupime hutaki sepa. Ni hivi huyu Alikuwa ananimendea ili nizame anibebe mimba kuna nia anayo na alishawahi ongelea kubwa ni kwamba kajua mke wangu hana time na kuhusu kunihudumia kaona hii ni fursa kwake kufanya jaribio la kuokota NDOA