Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

Natamani nikushitikishe hatua niliyofikia kimazungumzo na ticha wangu
 
Yani huyo ni mkaa njia ndugu yangu.

Ehehhehehehhehehe kazi unayo.
Mjue kushikilia pumbu zenu, shenzi.
Raha mnapenda kuwajibika hamtaki.
Mi sipendi kuwa na urest kwenye familia yangu mke hajawahi kunifuma nimemsaliti sijui reaction yake inanitia hofu.
 
Mimi nimemdanganya nampa gari yangu ndogo Ractis ila sheria ni kuwa lazima nishuhudie kuwa anaweka huku namuona pia hilo la kuhama nchi hawezi amini kwa sababu anajua baadhi ya vitega uchumi vyangu na aina ya kazi nayofanya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuuliza baba kijacho je mama kijacho ni cheupe au safari umetafuta blacl beuty?
Cheupe ila cha ajabu nilikuwa naamini wanawake weusi wafupi ni jeuri alafu wagumu kuelewa ila huyu nimepatikana
 
Hii kuzaa hovyo hutesa watoto zaidi hasa malezi jinsi wababa huforce kuwanyang'anya watoto mama zao, matokeo mtoto anateseka kisa zinaa
point na ndiyo maana mimi sitaki
 
Mimi nimemdanganya nampa gari yangu ndogo Ractis ila sheria ni kuwa lazima nishuhudie kuwa anaweka huku namuona pia hilo la kuhama nchi hawezi amini kwa sababu anajua baadhi ya vitega uchumi vyangu na aina ya kazi nayofanya.
Kuweka ukiondoka tu inatoka Bora ungempeleka hospital uongee na daktari kabisa then humpi kadi ya gari loh
 
Jiendekezeni madhara ndo hayo kutesa watoto na wewe kysumbuliwa daily na jinsi anavokusumbua hata hamu ya mtoto na kumtenga kutaanza
 
Jiendekezeni madhara ndo hayo kutesa watoto na wewe kysumbuliwa daily na jinsi anavokusumbua hata hamu ya mtoto na kumtenga kutaanza
Tuombeeni wajamen msitupatilize nasi tunajitahidi ila duh! pana mitihani mingine sio mchezo
 
Jiendekezeni madhara ndo hayo kutesa watoto na wewe kysumbuliwa daily na jinsi anavokusumbua hata hamu ya mtoto na kumtenga kutaanza
Kiujumla 95% ya sisi wanamume ni ahlul tamaa kama alivyosema mtaalam mmoja wa saikolojia kuwa hata leo ukinikabidhi miss world nikikaa nae baada ya miezi mitatu nitamuona wa kawaida na nitaanza kumpigia misele house girl ni ukweli mchungu but wengi wetu ndio tulivyo mara ngapi mwanamume ana mke bomba kisha aenda kufumaniwa na mchepuko ambar hafikii hata robo ya ulimbwende wa mkewe mpaka mke anasema bora ungechukua mzuri kuliko mimi ila msichokijua kuwa wewe tayari umeisha kuwa wa kawaida kwangu. Una masters yako nakubwaga ndani namlia mandari fullback tatu hatujisifii wala hatuoni ufakhari but ndio tulivyo jitahidini mtuzoee
 
Kwani huyo ni mwanao?,unavungwa nawe unakubali,mwache azae
 
Uvuruge ndoa ipi wakati ishaharibika pale mkeo alivyopenda kazi kuliko wewe?
 
Hukujua kukojoa ndani kunaleta mimba?.

shukuru Mungu lea mtoto wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…