Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
hakuna cha ziada hapo zaidi ya kusubiri ajifungue tu...ila nachojua mtoto wa kwanza ataathirika sana kisaikolojia hasa kutokana na kuachishwa mapema na kukosa mapenzi ya mama....this is very common in African culture.......