Kwa hiyo ni assumption tu,au?
Mimi nimefikiria hivi:
Kwa hali ya kawaida mara nyingi ujauzito unafikiriwa ikiwa mama amepitisha siku zake(MP),kwa hiyo mama huyu atakuwa amepitisha siku zake kwa wiki tatu tu! Inawezekana eeh?!
Mara nyingi dalili za ujauzito zinaanza baada ya mwezi mmoja na kuendelea.Kwa hiyo huyu mama atakuwa ameona dalili kabla ya mwezi mmoja kupita!Inaweka kuwa abnormal pregnancy,wengine wanaita molar pregnancy.
Ni weli inawezekana,ila huyu atakuwa ni miongoni mwa akina mama wachache sana chini ya jua hili wenye bahati hiyo!
Najiuliza amejuaje kama ni mjamzito.
Kwangu mimi naichukulia kama assumption,so na majibu yanatakiwa kuwa assumptions!