Anaandika aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman

Anaandika aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman

Hussein Mwinyi ni mtu sahihi kwa wazanzibari wasifanye makosa kumpa kura mtu mwingine yeyote.

Nimemiss Sana Urojo ya pale Chake, nikipata nafasi nitakuja tena kuwatembelea ndugu zangu.
 
Sijui badala ya Jecha nini kitatokea mwaka huu. Kimantiki sioni jamaa watatokea wapi. Na mabeberu nasikia safari hii baada ya kupewa ahadi na papaa wanatumulika sana.
Hakuna wa kumzuia Maalim kwenye urais. Tatizo pengine litakuwa kwenye muundo wa seriakali kwani sioni, kwa mazingira yaliyopo, akipata zaidi ya theluthi ya wabunge.
 
Hakika natamani kuisoma tena makala hii japo nimeelewa vya kutosha! Nilikuwa najiuliza kwanini siasa za sasa za CCM upole na ukimya imekuwa sifa kuu ya mgombea urais Z'bar??? Hakika leo nimepata jibu ili Tanganyika iendelee kufanya ukandamizaji, unyonyaji kwa kumtumia rais wao, mtoto wao wenyewe!

Kumbeeee! Sifa kibao hata kwa mama Samia, najiuliza kwa lipi? Kumbe yale yale akitoka mpole anaingia mpole hujuma miaka kwa miaka. tumemwondoa mkoloni mweupe kaingia mkoloni weusi ndugu!
 
Mgombea wa Kina polepole😂 sauti inatosha?
Ngoja tufunge Speaker kwanza, wako Ikungi wanadanganya Wananchi wazae ili wafe njaa afurahi
 

Attachments

  • IMG_20200821_215045.jpg
    IMG_20200821_215045.jpg
    19.2 KB · Views: 1
1. Hiyo Bandari kwa ajili ya kuhudumia nchi gani landlock zinazopakana na Zanzibar.

2. I][conditions precedent]?[/I]. Moja ya masharti hayo ni kuandaa maelezo yakinifu ya masharti na gharama za mradi [employer’s requirement], ambayo ndio njia sahihi ya kupunguza gharama.

Hili la kupunguza gharama, kwani gharama za mradi ni employers requirement tu??
What about the cost of expertise as well as raw materials ?? Na interest on loan
 
Huyu abunuasi wao mara hii wamtafutie kiti mapema.
 
Kuna mambo mengine ameandika kiushabiki swala la mkopo wa kujenga bandari kupitia exim bank na hiyo kampuni aliyoitaja , mkopo ule ulikuwa hauna maslahi kwa taifa na hiyo kampuni ilishafungiwa na benki ya dunia kwa kutoa rushwa pia walinyimwa tenda ya kujenga bandari ya Dar es salaam kwa sababu hizohizo ndio kisa cha marehemu Nundu na naibu wake kulazimishwa kujiuzulu awamu ya nne.
Amezungumzia pesa za Zanzibar lakini mbona haelezi Zanzibar wanachangia kiasi gani kwenye muungano kasehemu kadogo kana wabunge 75 wote wanahudumiwa na muungano.

Swala la ardhi kuwa la muungano hivi nani hajui wazanzibar hasa wapemba walivyojazana bara lakini kwao ni pangu hapa , hata mgombea urais wa act ana nyumba mbweni, kina Bakhresa wana viwanja, majumba na mashamba kibao bara ndio walitangaza walalamike
 
Duh..... Zanzibar kumekucha.

Unguja wanajua siasa kuliko Tanganyika sijajua ni kwanini?!
Tanganyika walipewa Uhuru mezani baada ya Uingereza kuchoka... Wengi akili zao zimesetiwa kusubiria vya mezani...!! Hawana uwezo wa kuwaza vinginevyo!!
 
Pamoja na yote mazuri aliyoandika nina wasi wasi na mkopo wa Exim bank China. Mikopo ya wachina na ujenzi wa miradi mikubwa nchi nyingi zimelizwa mfano SGR Kenya na pia mradi wa iliyokufa bandari ya Bagamoyo kweli tungelizwa kilio cha mbwa mdomo juu. Ni heri ZnZ wajenge bandari kwa kutumia fedha yao wenyewe kuliko mkopo wa China. Suala la mafuta sio la muungano tena JK aliliondoa na rais Sheni alizunguka ulaya kutafuta wachimbaji na mikopo nakumbuka alienda mpaka Italy na Uingereza aliporudi akasema kila kitu tayari wataanza kuchimba mafuta sijui imekuwaje sasa wanaangushia jumba bovu muungano. ZnZ haina utamaduni wa kulipa kodi hata wakichimba mafuta shida zao hazitaisha wao wanaabudu misaada tu.
 
Mwambieni Pole Pole aje huku anaitwa. Asisahau kumwita Mwanasheria mkuu na Mtemi Chenge.

Hapa CCM hutawaona
 
Andiko la mwanasheria mkuu limekaa kimtego mtego.
Lakini tunaaminije kama ameandika yeye au wanamuwekea maneno mdomoni?

Pili, tutarajie haya kwa sababu ya siass za Zanzibar ambapo inajulikana wazi kuna tatizo la makundi na fitina za chinichini hass pale kundi fulani linapokosa mtu wao kuteuliwa...


Tatu, kuna baadhi ya watumishi au viongozi fulani wa Zanzibar ambao wanahisi maslahi yao hayatalindwa pale ambapo waliyemtarajia hajapata nafasi ya kugombea.

Kikubwa kwa sasa ni kuiangalia ilani na kuhakikisha aliyeteuliwa anakula yamini ya kuiishi
Msanii huyu hageuki, sie wafuasi wake tunajua ladha ya maandiko yake, yule ni mwenzetu hata akivaa juba na nikabu tunamfahamu mwanakwetu.
 
Haya anayoyasema Masoud ndio yaliyojaa vifuani mwa wazanzibar wengi. Haya huwa wanayaonesha kwenye sanduku la kupigia kura. Lakini ndio hivyo mfumo unawakataa.
 
Back
Top Bottom