Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wabaguzi sana nyieMsanii huyu hageuki, sie wafuasi wake tunajua ladha ya maandiko yake, yule ni mwenzetu hata akivaa juba na nikabu tunamfahamu mwanakwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabaguzi sana nyieMsanii huyu hageuki, sie wafuasi wake tunajua ladha ya maandiko yake, yule ni mwenzetu hata akivaa juba na nikabu tunamfahamu mwanakwetu.
Unguja au Pemba? Bora ungeandika Unguja na Pemba.Duh..... Zanzibar kumekucha.
Unguja wanajua siasa kuliko Tanganyika sijajua ni kwanini?!
CCM ya sasa hakuna hata mmoja anayeweza kusimama na kujenga hoja kwa hoja, kutetea hoja kwa hoja au kupinga hoja kwa hoja,hakuna kabisa.Mwambieni Pole Pole aje huku anaitwa. Asisahau kumwita Mwanasheria mkuu na Mtemi Chenge.
Hapa CCM hutawaona
Nyie wabinafsi wa kiwango cha lamiWabaguzi sana nyie
At least siyo wabaguzi.Nyie wabinafsi wa kiwango cha lami