Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 726
CECAFA haipo, ila hadi inakufa ni Simba ndio imeyajaza kabatini.Hata la Cecafa tu.........lete nchini na kusema eti kufa Kiume ni mbinu ya kukwepa kusema tumefail
Karibu kwenye tamasha la kumcheka mtani katika ukumbi wa gharama kubwa wa JNICC