Anaandika Edo Kumwembe Kuhusu Utambulisho Wa D Voice

Anaandika Edo Kumwembe Kuhusu Utambulisho Wa D Voice

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
11,075
Reaction score
24,634
KITU AMBACHO HAKITAHOJIWA KWA SASA....

Mamilioni Yanayotumika Kumpaisha Leo Ukianzia Shughuli Yenyewe
Ukumbini Pesa Imezama mule, Halafu Kwenda Studio Na Pia Video
Kali, Mavazi Ya Kufa Mtu, Location Za South Africa etc... Promotion ya
kufa mtu Anaelekea kuwa staa mkubwa.
Baadae Akiamua Kujitoa Katika Lebo Akadaiwa Milioni 600 Za Kuvunja
Mkataba Utasikia "anaonewa".."Si Wamuache Tu Aende Hiyo Pesa
Ataitoa Wapi Jamani"..."Wanataka Kumdhulumu Tu Kwa Sababu
Amekuwa Staa"....

Tatizo Letu Watanzania Ni Ujamaa Uliopitiliza.
Tunaamini Katika Kusaidiana Kuliko Biashara.
 
KITU AMBACHO HAKITAHOJIWA KWA SASA....

Mamilioni Yanayotumika Kumpaisha Leo Ukianzia Shughuli Yenyewe
Ukumbini Pesa Imezama mule, Halafu Kwenda Studio Na Pia Video
Kali, Mavazi Ya Kufa Mtu, Location Za South Africa etc... Promotion ya
kufa mtu Anaelekea kuwa staa mkubwa.
Baadae Akiamua Kujitoa Katika Lebo Akadaiwa Milioni 600 Za Kuvunja
Mkataba Utasikia "anaonewa".."Si Wamuache Tu Aende Hiyo Pesa
Ataitoa Wapi Jamani"..."Wanataka Kumdhulumu Tu Kwa Sababu
Amekuwa Staa"....

Tatizo Letu Watanzania Ni Ujamaa Uliopitiliza.
Tunaamini Katika Kusaidiana Kuliko Biashara.
Naked truth.
 
Zaidi ya mipasho kuna unachokijua kwenye huu ulimwengu? Unajua hata mantiki ya appearance?

Kigagula kichwa cheupe sana wewe [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kutotaka kuonekana sehem za umma, ili mashabiki wawe na kiu ya kumuona, ndo nisijue hili mie?

Kigagulaa unalo hilii, poleee wee.
 
Back
Top Bottom