Anaandika Mwabukusi (advocate)

Anaandika Mwabukusi (advocate)

Inawezekana dogo yupo kazini. Ila sema kinachoshangaza ni kushughulika na mtu ambaye hana ushawishi. Ila ninvyojua hapa patachimbika. Nadhani CCM tumekuwa wajinga wajinga sana vitu ka hivi havituongezei kura kabisa zaidi ya kutuonesha sisi ni wajinga madikiteta na wauaji
Sijaregemea sincerity toka kwa mwanaccm kabisa. Kumbe wapo CCM wakweli kama Warioba na wewe? Hongera aisee
 
Muogopeni Samia, huyu mama ni cold blooded zaidi ya Magufuli nawaambia. Kwa mwanamke mama kuwa kimya kutekwa kwa vijana kama kina Soka yuko kimya, Sativa, Ali Kibao. Kesi aliyombambikia Mbowe ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifungo cha muda mrefu au kifo kwa sababu ya kisiasa ni ukatili.

Haya yanafanyika mahakamani kwa directive zake, anaona raha kuumiza wanaopingana ni reincarnation ya Magufuli. Ila Magufuli alikuwa anajionyesha tofauti na huyu, CCM wamelewa madaraka wanafurahia lakini huyu mama anawapeleka pabaya
 
Unafiki ni kitu kibaya walimdhihaki kwa majina mabaya na kumdhalilisha mkewe leo eti wanamlilia kilio cha mamba!
Nimeanza kujiuliza hapa, hv ukiwa chadema akili huwa inapatwa na nini'?!!!!! Mbona ni 'kulakachalakacha' tu mambo kama mahayawani?!!!
Yaani ccm eti ihangaishwe na uenyekiti wa lissu!!!!! Shubaaaamit, Haina kazi ya kufanya?!!!
 
Kuna wakati ninajihoji na kujiuliza kuhusu mfumo wetu wa Haki Jinai najisikia Aibu sana kuwa Mwanasheria .

Ukijiuliza logic ya uwepo wa sheria inayokataza bayana kupelekwa kwa mashtaka Mahakamani kabla upelelezi haujakamilika na kwamba anaweza kuwepo mtu ambaye kasoma sheria ila anaamua kuinajisi na kuigeuza Mahakama kama Kokoro la kubeba kila aina ya takataka ..

Tunajidhalilisha na kudhalilisha mfumo wetu wa Haki jinai...Iam very ashamed personallView attachment 3213473y.
Mshana hata wewe unaamini silaa ni mtuhumiwa kweli?WaTz tukoje lakini?Silaa ni mamauruki wa ccm na yuko kazini kama alivyo mbowe,hiyo kesi ni zuga tu anapokea mshahara wake na marupurupu yake kama kawaida kutoka serikalini.

Upinzani utafanikiwa utakapoamua kuwafukuza/kutowapokea na kutofanya kazi na watu kama silaa.


Hivi kweli mtu ambaye amelelewa na serikali ya ccm hadi kupewa ubalozi wa nchi bado tunaamini ni MPINZANI KWELI?
 
Muogopeni Samia, huyu mama ni cold blooded zaidi ya Magufuli nawaambia. Kwa mwanamke mama kuwa kimya kutekwa kwa vijana kama kina Soka yuko kimya, Sativa, Ali Kibao. Kesi aliyombambikia Mbowe ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifungo cha muda mrefu au kifo kwa sababu ya kisiasa ni ukatili.

Haya yanafanyika mahakamani kwa directive zake, anaona raha kuumiza wanaopingana ni reincarnation ya Magufuli. Ila Magufuli alikuwa anajionyesha tofauti na huyu, CCM wamelewa madaraka wanafurahia lakini huyu mama anawapeleka pabaya
Huwa nafurahi sana ninapoona uzushi kama huu sababu Mungu huwa anaubadili na kuwa Dua Moja nzuri sana na anaijibu hapo hapo.

Hebu tuangaliehili, huyu Mama anashambuliwa na kuchukiwa sana na baadhi ya watu (la kufurahisha ni wachache)........ mpina na hawa nyumbu wakiongoza. Jitihada za kumkwamisha zimekuwa nyingi balaa. Lakini ajabu ndo kwanza neema zinatokea kipindi chake
 
Hii nchi ni ya Ajabu sana, wanamfanyiaje huyu mzee aliyekuwa Balozi wetu huko Sweden? Yaani maana yake ni kwamba Raisi mstaafu (balozi muwakilishi) hana kinga ya mashtaka? Taaabu tupu.

NB: Balozi ni muwakilishi wa nchi kama alivyo Raisi ndio maana wana kinga ya mashtaka wakiwa na hadhi ya ubalozi.. sasa sijui, kama hiyo kinga huwa inavulika mtu akiacha kuwa balozi. kama kinga inavulika maana yake hata Raisi akistaafu, kinga yake pia haipo. Hawa prosecutors wanatengeneza precedent ya hatari sana kwa maraisi na mabalozi siku za mbeleni huko.
Alifutiwa hadhi ya ubalozi ndo MAANA hana kinga
 
Nafikiri Samia anatoa onyo hata kwa watumishi wenye kinga, wasipokuwa machawa, wakatoa maoni ambayo hayapendi wanaweza kuishia jela.

Kosa la kumbambikizia, kosa lina dhamana, Mzee wa watu miaka 75 atakimbilia wapi? Wamtesa na kumkomoa tu. Hii serikali wamekosa utu kabisa na kulewa na madaraka.
Kazi ipp
 
Kuna wakati ninajihoji na kujiuliza kuhusu mfumo wetu wa Haki Jinai najisikia Aibu sana kuwa Mwanasheria .

Ukijiuliza logic ya uwepo wa sheria inayokataza bayana kupelekwa kwa mashtaka Mahakamani kabla upelelezi haujakamilika na kwamba anaweza kuwepo mtu ambaye kasoma sheria ila anaamua kuinajisi na kuigeuza Mahakama kama Kokoro la kubeba kila aina ya takataka ..

Tunajidhalilisha na kudhalilisha mfumo wetu wa Haki jinai...Iam very ashamed personallView attachment 3213473
Kweli ni Aibu Tena,mnaapa kwa Dini zenu huku mkijua kwamba Mungu hadhihakiwi!
 
Huwa nafurahi sana ninapoona uzushi kama huu sababu Mungu huwa anaubadili na kuwa Dua Moja nzuri sana na anaijibu hapo hapo.

Hebu tuangaliehili, huyu Mama anashambuliwa na kuchukiwa sana na baadhi ya watu (la kufurahisha ni wachache)........ mpina na hawa nyumbu wakiongoza. Jitihada za kumkwamisha zimekuwa nyingi balaa. Lakini ajabu ndo kwanza neema zinatokea kipindi chake
Always ukiwa mpumbavu huwezi jibu hoja badala yake unaleta hisia. Kukimbilia kumtaja Mungu inategemea ni Mungu yupi maana hata mchawi anaporoga anamuomba Mungu wake.

Nilitegemea ujibu hoja zangu ungeweza kunifundisha kitu ambacho sikijui kikanifungua akili zaidi badala yake unaleta ngonjera na hisia zako. Kama una akili hata za kuombea maji rudi kwenye hoja kwa nini mahakama na waendesha mashtaka wateule wake wanakiuka sheria akiwa kimya?

Pili nijibu kwa nini alimzushia Mbowe kesi ya uhaini? Ukishindwa kujibu usilete uchawa wako kakojoe ulale
 
Inawezekana Tanzania ni sehemu ya Jehanamu. Kama Sheria Iko wazi hivyo Kwa nini inavunjwa na vyombo hivyo hivyo vinavyotakiwa kusimamia haki. Na kamsemo kao ka innocent until proven guilty.

Waweke fine Kwa ya kiasi kisichopungua 1 million per day, kula Siku mtu anapowekwa mahubusi kusubiri upelelezi. Na huku MASHARTI ya dhamana anayo.
 
Nilimchukia huyu Mheshimiwa Mwabukusi baada ya kuonesha interest in one person, I hate him.

Ila jamani mnataka huyu Slaa afie huko ndani ?
Mtani kumbe wewe ni mbogamboga😂😂😂
 
Inawezekana dogo yupo kazini. Ila sema kinachoshangaza ni kushughulika na mtu ambaye hana ushawishi. Ila ninvyojua hapa patachimbika. Nadhani CCM tumekuwa wajinga wajinga sana vitu ka hivi havituongezei kura kabisa zaidi ya kutuonesha sisi ni wajinga madikiteta na wauaji
Nadhani CCM tumekuwa wajinga wajinga sana vitu ka hivi havituongezei kura kabisa zaidi ya kutuonesha sisi ni wajinga madikiteta na wauaji💪🏿👌🏿
 
Back
Top Bottom