Anaandika Mwabukusi (advocate)

Anaandika Mwabukusi (advocate)

Always ukiwa mpumbavu huwezi jibu hoja badala yake unaleta hisia. Kukimbilia kumtaja Mungu inategemea ni Mungu yupi maana hata mchawi anaporoga anamuomba Mungu wake.

Nilitegemea ujibu hoja zangu ungeweza kunifundisha kitu ambacho sikijui kikanifungua akili zaidi badala yake unaleta ngonjera na hisia zako. Kama una akili hata za kuombea maji rudi kwenye hoja kwa nini mahakama na waendesha mashtaka wateule wake wanakiuka sheria akiwa kimya?

Pili nijibu kwa nini alimzushia Mbowe kesi ya uhaini? Ukishindwa kujibu usilete uchawa wako kakojoe ulale
Mbona wakili wa serikali ameongea. Hamuwezi kusikiliza sababu nyumbu wote mko biased mno.........mnachoweza ni kumkatia viuno lissu tu basi. Unajua tafsiri 'pana' ya ugaidi au we unayo ile uliyoikariri kutoka kwenye kamusi Yako ya kidato Cha kwanza?!!! Una uelewa wowote wa Sheria kwanza au unataka kunipigisha makelele tu hapa?

Hebu nenda uani huko kachochee maharage aje kula lissu alitoka kwenye chombo kimojawapo Cha habari kuwaeleze nyie mburura kuwa anachukua nchi 2025
 
Mbona wakili wa serikali ameongea. Hamuwezi kusikiliza sababu nyumbu wote mko biased mno.........mnachoweza ni kumkatia viuno lissu tu basi. Unajua tafsiri 'pana' ya ugaidi au we unayo ile uliyoikariri kutoka kwenye kamusi Yako ya kidato Cha kwanza?!!! Una uelewa wowote wa Sheria kwanza au unataka kunipigisha makelele tu hapa?

Hebu nenda uani huko kachochee maharage aje kula lissu alitoka kwenye chombo kimojawapo Cha habari kuwaeleze nyie mburura kuwa anachukua nchi 2025
Kuonyesha wewe ni pumbavu wakili wa serikali kaongea nini kuhalalisha ukiukwaji huu wa sheria? Kwa nini kesi imepelekwa mahakama kuu?

Kama wewe siyo mkata viuno niambie maana pana ya tafsiri ya ugaidi mjinga wewe unayekimbilia kutukana ukifikiria utaniintimidate, kwa nini walikimbilua kuifuta na kumwalika Mbowe ikulu? USA walipomtangaza Osama bin Laden kuwa gaidi walimualika white house? Wajinga nyie ndio mnaopelekwa pelekwa mnadhani wote sisi ni wapumbavu kama nyie, jibu au njoo na hoja huwezi kamkatie viuno Wassira. Pathetic fool
 
Back
Top Bottom