kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Muachieni sasa uchaguzi umeisha. lissu kashinda na CHADEMA imebaki salama na imara zaidi
Mkuu mimi mstaarabu sana ila kuna muda watu wanahitaji majibu ya dizaini hizo ili wajue tumeishi zama za aina zote sema kama umekwazika mkuu niwie radhi!Kooa
Kipara kipya. Nakuona kama mstaarabu hivi.. matusi ya nini ndugu.
Mbona wakili wa serikali ameongea. Hamuwezi kusikiliza sababu nyumbu wote mko biased mno.........mnachoweza ni kumkatia viuno lissu tu basi. Unajua tafsiri 'pana' ya ugaidi au we unayo ile uliyoikariri kutoka kwenye kamusi Yako ya kidato Cha kwanza?!!! Una uelewa wowote wa Sheria kwanza au unataka kunipigisha makelele tu hapa?Always ukiwa mpumbavu huwezi jibu hoja badala yake unaleta hisia. Kukimbilia kumtaja Mungu inategemea ni Mungu yupi maana hata mchawi anaporoga anamuomba Mungu wake.
Nilitegemea ujibu hoja zangu ungeweza kunifundisha kitu ambacho sikijui kikanifungua akili zaidi badala yake unaleta ngonjera na hisia zako. Kama una akili hata za kuombea maji rudi kwenye hoja kwa nini mahakama na waendesha mashtaka wateule wake wanakiuka sheria akiwa kimya?
Pili nijibu kwa nini alimzushia Mbowe kesi ya uhaini? Ukishindwa kujibu usilete uchawa wako kakojoe ulale
Kuonyesha wewe ni pumbavu wakili wa serikali kaongea nini kuhalalisha ukiukwaji huu wa sheria? Kwa nini kesi imepelekwa mahakama kuu?Mbona wakili wa serikali ameongea. Hamuwezi kusikiliza sababu nyumbu wote mko biased mno.........mnachoweza ni kumkatia viuno lissu tu basi. Unajua tafsiri 'pana' ya ugaidi au we unayo ile uliyoikariri kutoka kwenye kamusi Yako ya kidato Cha kwanza?!!! Una uelewa wowote wa Sheria kwanza au unataka kunipigisha makelele tu hapa?
Hebu nenda uani huko kachochee maharage aje kula lissu alitoka kwenye chombo kimojawapo Cha habari kuwaeleze nyie mburura kuwa anachukua nchi 2025