Anaandika Mwabukusi (advocate)

Mbona wakili wa serikali ameongea. Hamuwezi kusikiliza sababu nyumbu wote mko biased mno.........mnachoweza ni kumkatia viuno lissu tu basi. Unajua tafsiri 'pana' ya ugaidi au we unayo ile uliyoikariri kutoka kwenye kamusi Yako ya kidato Cha kwanza?!!! Una uelewa wowote wa Sheria kwanza au unataka kunipigisha makelele tu hapa?

Hebu nenda uani huko kachochee maharage aje kula lissu alitoka kwenye chombo kimojawapo Cha habari kuwaeleze nyie mburura kuwa anachukua nchi 2025
 
Kuonyesha wewe ni pumbavu wakili wa serikali kaongea nini kuhalalisha ukiukwaji huu wa sheria? Kwa nini kesi imepelekwa mahakama kuu?

Kama wewe siyo mkata viuno niambie maana pana ya tafsiri ya ugaidi mjinga wewe unayekimbilia kutukana ukifikiria utaniintimidate, kwa nini walikimbilua kuifuta na kumwalika Mbowe ikulu? USA walipomtangaza Osama bin Laden kuwa gaidi walimualika white house? Wajinga nyie ndio mnaopelekwa pelekwa mnadhani wote sisi ni wapumbavu kama nyie, jibu au njoo na hoja huwezi kamkatie viuno Wassira. Pathetic fool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…