Rage alipowaita mbumbumbu, hata hakukosea. Kipindi hicho ukiwauliza zilipo bilioni 20 za mwekezaji, walikuwa wanajibu kimbumbumbu tu!!Kigwangala alishawaambia kuwa ile HUNDI ni MZUKA/MZIMU mkatumia uhuru wenu kumtukana hadi mkaridhika.
Kuleni ujinga wenu na vichwa ngumu mshibe kwanza.
Ufike mahali tuweke mahaba pembeni tuupe ukweli nafasi.
Hivi ile HUNDI/MZUKA/KINYAGO ilikuwa ya bank gani?
.....mo hajanunua hizo hisa 49% mnadanganywa mchana kweupe.
Kuna mwerevu atanijibu?
Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
Yaani hizo pesa zinatolewa nususu kama kikoba.Rage alipowaita mbumbumbu, hata hakukosea. Kipindi hicho ukiwauliza zilipo bilioni 20 za mwekezaji, walikuwa wanajibu kimbumbumbu tu!!
Eti wanachoangalia ni timu kufanya vizuri! Wachezaji wanalipwa mishahara! Basi!! Haya sasa!! Baada ya timu kuanza kupata matokeo ya kusuasua! Wanaanza tena kukamatana uchawi.
Usiposimangwa huwezi kuchukia na kuleta mabadiliko, hii sio simba tulioizoeaMmepata chaka la kuongelea sasa...
Mkimaliza kuparurana, mje mtupe conclusionNdugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!
Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi.
Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.
Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?
Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea
Na YN
UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
mtani keshakua malalamiko fc [emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa kimataifaSimba sasa elekezeni nguvu zaidi kwenye kudai katiba mpya. Mpira umeshawashinda.
Maji hayakuzidi unga bali ni unga ndio umekuwa pungufu kulingana na maji; hivyo inabidi wajazilizie kwa mchanga.Maji yamezidi unga, makolo yana gombana yenyewe kwa yenyewe. Yanaenda kuuana kiume
Simba ni sawa na RC na CCM ni taasisi zinazoogopa mabadiliko sanaNdugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!
Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi.
Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.
Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?
Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea
Na YN
UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
Duh poleni sana. Wana thimbaaaa mlete mdhungu.sasa mnadhika au mnasafirisha? Tupo hapa nanyumbu NTWARAMatatizo ya Simba yapo ndani na nje ya uwanja, tukianza nje kwenye uongozi na mwekezaji,.
Mwekezaji badala ya kutimiza malengo yake amekuwa anatumia muda mwingi kujisia twitter na kwenye vyombo vya habari. Aliwahi kusema anawekeza pesa nyingi kwenye timu na inampa hasara ingawa wakati huohuo anasema alikataa udhamini wa bilioni 2.5 ili aunge mkono juhudi za rais kutangaza utalii. Anajitapa kuwa ametumia pesa nyingi kwenye usajili lakini hatuoni quality ya wachezaji aliosajili wengine kama Sawadogo na Quatara ni watu ambao hawafikirii hata kuwekwa benchi.
Apunguze kuongea afanye vitendo kabla ya kuingia uwekezaji tuliona akilaumu Simba kuuza wachezaji wake wazuri wlakini chini yake tumeuza wachezaji tegemeo kama Luis, Bwalya na Chama ingawa alirudi. Amelazimisha uongozi uchaguliwe utakaoendana na matakwa yake.
Uongozi wengi waliopo pale hawajui mambo ya mpira ni sehemu wamekuja kutafuta umaarufu na pesa. Timu imetoka Morocco inapangiwa mechi mbili mfululizo ndani ya wiki lakini viongozi wamekaa kimya ingekuwa upande wa pili wangeshago lakini kwa sababu tuna viongozi matutusa wanaona kila kitu sawa. Lakini wameleta Siasa na kutotaka kipa namba mbili asipangwe kisa amehusishwa na kusajiliwa Singida united ambao ni ndugu na Yanga. Wameendelea kukaa na wachezaji wazee na wasio na uwezo lakini wameshindwa kumwoji kocha pale anapoacha wachezaji wazuri na kung'ang'ania wazee.
Benchi la ufundi nalo linabeba lawama kubwa kwanza Simba ina wachezaji kama Phiri, Sackho, Banda na Okra ambao wakati ligi inaanza walitubeba sana ila kama Phiri hata benchi hawekwi. Wanachelewa kufanya sub hata pale wanapoona kuna wachezaji wamechoka ama hawapo mchezoni. Wameendelea kung'ang'ania wachezaji walewale na mbinu ileile, wameendelea kumwamini kipa no 3 pamoja na mwendelezo wa makosa yake.
Wachezaji hawawezi kukwepa lawama kipa wetu anafungwa magoli rahisi sana mabeki wetu ni waziti goli la kwanza ni Inonga peke yake aliyerudi kwa haraka wengine wote walibaki wamejisahau. Mzamiru anayecheza Simba na anayecheza timu ya taifa ni watu wawili tofauti akiwa Simba akipata mpira nanshindwa kufanya maamuzi wapi aupeleke pia amekuwa harudi kwenye eneo lake kuwasaidia mabeki pamoja na kupiga pasi zisizo na macho. Mtu kama Saido sio wa kucheza dakika 90 ila dakika 20 zinatosha pia acheze kwa ajili ya timu na sio kujifikiri yeye binafsi pia Kibu Denis pamoja na kukaba vizuri maamuzi yake mengi hayana faida kwa timu.
Loosers fcNdugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!
Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi.
Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.
Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?
Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea
Na YN
UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
Kuliacha hilo ni kutowatendea haki wachezaji na uongozi mzima wa Simba.Kuifunga yanga ni mafanikio ya kuandika
Daaah