HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
MO ataonewa bure
Tatizo la Simba ni Bodi nzima
Kuna kundi la 51% hawa nao hawana msaada
Bodi ndiyo yahusika na sajili na kandarasi zote, hivyo lawama zitupwe kwao
Mchezaji kama Bocco hakupaswa ongezewa mkataba
Mikataba yote yatakiwa iwe na kipengele cha kuvunja endapo mchezaji hataonesha uwezo wake.
Bonus ziondolewe, ziweke baada ya ushindi wa medali
Wakipoteza mechi wakatwe mishahara
Tatizo la Simba ni Bodi nzima
Kuna kundi la 51% hawa nao hawana msaada
Bodi ndiyo yahusika na sajili na kandarasi zote, hivyo lawama zitupwe kwao
Mchezaji kama Bocco hakupaswa ongezewa mkataba
Mikataba yote yatakiwa iwe na kipengele cha kuvunja endapo mchezaji hataonesha uwezo wake.
Bonus ziondolewe, ziweke baada ya ushindi wa medali
Wakipoteza mechi wakatwe mishahara