Anaandika Mwanasimba Crescentius Magori

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
"Imekuwa kawaida yenu kuongea, hata kwa Miquissone mlisema ameshindwa kucheza Afrika Kusini haya leo hii yuko wapi, tumefanya Scout ya kutosha, huyu Duncan Nyoni ni kama lidude hivi la kutisha, subirini, tuna watu"

"Niwahakikishie wana Simba, tunaenda kuwa na timu bora msimu huu kuliko msimu uliopita, lengo letu kwenye miaka michache ijayo tuwe miongoni mwa timu tano bora Afrika"

Crescentius Magori
 
Magori asitufokee mpira unachezwa uwanjani, Kama Simba wako vizuri tutawaona uwanjani huitaji kuongea mbaka misuli ya shingo ikaze ni swala la muda tu, Muda haujawahi kuongopa.

Tunajua Magori ni chawa wa MO anajitahidi kuongea ili Mambo yaonekane yako sawa Ila muda utasema ukweli.
 
Unateseka ukiwa wapi

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka Magori kajibu watu ambao hawakutaka muda uamue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…