Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
"Imekuwa kawaida yenu kuongea, hata kwa Miquissone mlisema ameshindwa kucheza Afrika Kusini haya leo hii yuko wapi, tumefanya Scout ya kutosha, huyu Duncan Nyoni ni kama lidude hivi la kutisha, subirini, tuna watu"
"Niwahakikishie wana Simba, tunaenda kuwa na timu bora msimu huu kuliko msimu uliopita, lengo letu kwenye miaka michache ijayo tuwe miongoni mwa timu tano bora Afrika"
Crescentius Magori
"Niwahakikishie wana Simba, tunaenda kuwa na timu bora msimu huu kuliko msimu uliopita, lengo letu kwenye miaka michache ijayo tuwe miongoni mwa timu tano bora Afrika"
Crescentius Magori